Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ohoo mke wa mtu ni roho ya mtu swirrWeee kisa mke wa mtu? Hilo balaa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoo mke wa mtu ni roho ya mtu swirrWeee kisa mke wa mtu? Hilo balaa sasa
Kwani we unatumiaga roho za watu?Ohoo mke wa mtu ni roho ya mtu swirr
Naitumia ndani kwa ndani mkuu😂Kwani we unatumiaga roho za watu?
Mmh sijaelewa vizuri Yani unatumia roho yako😅😅😅😅ooh hapo sawa 😂😂🙄Naitumia ndani kwa ndani mkuu😂
Hivi mimi ninavyojua kupenda na kuoza tikitiki nikukute uko kifuani kwa mpenzi wangu hiiii hiiiii.Kwani we unatumiaga roho za watu?
Wanaume wengi mko hivi,, ila saaasa sijui nini kinawakumba mnajikuta mnatenda msichopenda kutendewaHivi mimi ninavyojua kupenda na kuoza tikitiki nikukute uko kifuani kwa mpenzi wangu hiiii hiiiii.
Hiyo Vita hata nato wataomba poo.
Naombaga Mungu macho yangu asishuhudie
Iko hivi mtoto mzuri...yaani nikikupenda roho yako na yangu vinakuwa kama vimechomelewa na welding..mapigo yanapiga pamoja...mtu akikugusa amenigusa yaani kuliwa kwako kama vile amenivua nguo pia🤣🤣Mmh sijaelewa vizuri Yani unatumia roho yako😅😅😅😅ooh hapo sawa 😂😂🙄
Kamwe sipendi kula mke wa jirani.Wanaume wengi mko hivi,, ila saaasa sijui nini kinawakumba mnajikuta mnatenda msichopenda kutendewa
Oooih vizuri, aisome mtoa madaIko hivi mtoto mzuri...yaani nikikupenda roho yako na yangu vinakuwa kama vimechomelewa na welding..mapigo yanapiga pamoja...mtu akikugusa amenikuga yaani kuliwa kwako kama vile amenivua nguo pia🤣🤣
Nasikia Ni watamu sana wake za watu!!! Usirudie kula vya watu lakiniKamwe sipendi kula mke wa jirani.
Japo nilifungiwa na mke wa jirani lakini nilikuwa smart kuliko yeye.
Yeye alitumia mbususu kufikiri ataniweza, mimi nilitumia kichwa cha juu kufikiri nika wini.
Kuna kesi kama 2 nilinusurika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ili usipate michubuko na kuumia sana nakushauri tembea na mafuta mfukoni ikishindikana mfukoni yaweke sikioni kwa ndani hakika utakuja kunishukuru
Mmh uhamee bas. Umeshamlamba wwKuna manzi Tumepanga nyumba moja lakini yeye ni mke wa mtu. Mume wake ana wake wa tatu Jamaa analala kwa zamu zamu kila mke wake anampitia mara mbili kwa wiki.
Sasa huyu manzi ananizalimisha sana nimle Nyapu kila siku usiku ananitafuta anasema Aje gheto kwangu maana mimi sijaoa nimekataa sana sasa nataka nihame mtaaa isije akanipa matatizo bure.
Na anasema nimuoe mimi kama nipo tayari aanze mchakato wa kudai taraka kwa mme wake kweli Jamani mwanawake sio wa kumwamini.
Mkuu haya majaribu huwa yananizunguka sana sijui wanionaje lkn Mungu ni mwema haachagi kunishindia.Nasikia Ni watamu sana wake za watu!!! Usirudie kula vya watu lakini
Anasema hajamlamba so ameleta apewe ushauri amlambe au Ahame chumba?Mmh uhamee bas. Umeshamlamba ww