Huyu mke wa mtu ananisumbua sana Sijui nifanyaje ili niepuke mtego huu

Huyu mke wa mtu ananisumbua sana Sijui nifanyaje ili niepuke mtego huu

Hivi mimi ninavyojua kupenda na kuoza tikitiki nikukute uko kifuani kwa mpenzi wangu hiiii hiiiii.
Hiyo Vita hata nato wataomba poo.
Naombaga Mungu macho yangu asishuhudie
Wanaume wengi mko hivi,, ila saaasa sijui nini kinawakumba mnajikuta mnatenda msichopenda kutendewa
 
Mmh sijaelewa vizuri Yani unatumia roho yako😅😅😅😅ooh hapo sawa 😂😂🙄
Iko hivi mtoto mzuri...yaani nikikupenda roho yako na yangu vinakuwa kama vimechomelewa na welding..mapigo yanapiga pamoja...mtu akikugusa amenigusa yaani kuliwa kwako kama vile amenivua nguo pia🤣🤣
 
Wanaume wengi mko hivi,, ila saaasa sijui nini kinawakumba mnajikuta mnatenda msichopenda kutendewa
Kamwe sipendi kula mke wa jirani.
Japo nilifungiwa na mke wa jirani lakini nilikuwa smart kuliko yeye.
Yeye alitumia mbususu kufikiri ataniweza, mimi nilitumia kichwa cha juu kufikiri nika wini.
Kuna kesi kama 2 nilinusurika
 
Iko hivi mtoto mzuri...yaani nikikupenda roho yako na yangu vinakuwa kama vimechomelewa na welding..mapigo yanapiga pamoja...mtu akikugusa amenikuga yaani kuliwa kwako kama vile amenivua nguo pia🤣🤣
Oooih vizuri, aisome mtoa mada
 
Kamwe sipendi kula mke wa jirani.
Japo nilifungiwa na mke wa jirani lakini nilikuwa smart kuliko yeye.
Yeye alitumia mbususu kufikiri ataniweza, mimi nilitumia kichwa cha juu kufikiri nika wini.
Kuna kesi kama 2 nilinusurika
Nasikia Ni watamu sana wake za watu!!! Usirudie kula vya watu lakini
 
Mkuuu huyo dem Kula vyuma lakini usimle hapo hapo Tafuta safari Ya kwenda ata mbali na unapoishi unaenda nae unamla atakudharau sana usipompa haki yake pigaa kaka
Unitakii mema Kaka
 
Ukijichanganya utanikuta Ukraine.
Usisahau mrejesho
 
Kuna manzi Tumepanga nyumba moja lakini yeye ni mke wa mtu. Mume wake ana wake wa tatu Jamaa analala kwa zamu zamu kila mke wake anampitia mara mbili kwa wiki.

Sasa huyu manzi ananizalimisha sana nimle Nyapu kila siku usiku ananitafuta anasema Aje gheto kwangu maana mimi sijaoa nimekataa sana sasa nataka nihame mtaaa isije akanipa matatizo bure.

Na anasema nimuoe mimi kama nipo tayari aanze mchakato wa kudai taraka kwa mme wake kweli Jamani mwanawake sio wa kumwamini.
Mmh uhamee bas. Umeshamlamba ww
 
Nasikia Ni watamu sana wake za watu!!! Usirudie kula vya watu lakini
Mkuu haya majaribu huwa yananizunguka sana sijui wanionaje lkn Mungu ni mwema haachagi kunishindia.
Mmoja alinipigia simu niende jioni ametofautiana na mmewe nikwasuluhishe but nisimwambie mmewe kuwa kaniita.

Kumbe amempanga mume atangulie Moshi ili yeye aje kesho yake akipokea pesa ya mchezo..kumbe mchezo wenyewe ni G.

Saa 1 hivi jioni nikatinga getini akaja kufungua geti.
Baada ya kupaki nikamwambia niitie rafiki yangu aje nashangaa ingia tu shem jamaa anaoga.
Nilipoingia si mlango ukafungwa na ufunguo?
Ghafla kaingia chumbani..aliporudi yuko na kipande cha khanga tako kulee.

Mara paap nimekumbatiwa shem anapiga kelele mara mkono unakimbia zipu.
Nikamsukuma kulee..akaongea kwa sauti kuwa jamaa yuko Moshi shem ukinikataa napiga kelele kuwa unanibakaa.


Eee moyo nikasema Yesu nimekwishaa....
 
Back
Top Bottom