REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Kati ya maeneo ambayo yamfanya Magufuli alale na lundo la mafile kitandani ni hili la madini na kati ya mambo Magufuli ameamua kuyavalia njuga ni hili la madini, Barrick na Acacia wanamtambua vizuri sababu mpaka kesho wanaisoma number ya pini ya makinikia
Sasa huyu mkenya masikini wa Mungu kaingia kwenye 18 za mzee baba ni lazima awehuke.
Sasa huyu mkenya masikini wa Mungu kaingia kwenye 18 za mzee baba ni lazima awehuke.