Huyu mkenya kagusa sharubu za JPM, haponi

Huyu mkenya kagusa sharubu za JPM, haponi

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
Kati ya maeneo ambayo yamfanya Magufuli alale na lundo la mafile kitandani ni hili la madini na kati ya mambo Magufuli ameamua kuyavalia njuga ni hili la madini, Barrick na Acacia wanamtambua vizuri sababu mpaka kesho wanaisoma number ya pini ya makinikia

Sasa huyu mkenya masikini wa Mungu kaingia kwenye 18 za mzee baba ni lazima awehuke.

20190620_190114png.png
20190620_190028png.png
20190620_185940png.png
 
Sasa huyo chura wenu unamwita Jpm nani anadhaminia hata? ??
 
Hawa wahuni wachache wanaonaswa lazima wawe wa mfano,huyu ni black(JPM) hana masihara hata kidogo,hawa jamaa wezi sana,sijui yule mwarabu wameishia wapi?
 
ah hapo kweli kavamia kambia ya makomandoo mbona namuonea huruma huyo jamaa
 
Kapotea sethi na ruge itakuja kuwa huyu. Kapotea huyu
 
Hawa wahuni wachache wanaonaswa lazima wawe wa mfano,huyu ni black(JPM) hana masihara hata kidogo,hawa jamaa wezi sana,sijui yule mwarabu wameishia wapi?
Muarabu kapunwa kila kila kitu hana hata shilingi mbovu
 
Aisee
Lazima kesi hii iwe fundisho!
Nilisema hapa kuwa wakenya kutaka kufungua ofisi ya ubalozi arusha kuna ajenda ya kufanikisha wizi wa madini yetu Kwa namna moja au nyingine serikali ya Kenya inatumiwa na wazungu na wezi wa kimataifa kuujumu nchi jirani
 
Hapa ndio huwa tunakosea, maana angechungwazwa inside kwa inside silently halafu ikibainka ni kweli anapotea kwa mtindo huohuo wa inside kwa inside na silently. Hii ya mahakama ni ku invite public tu
 
Hakuonana na DPP nyuma ya pazia wakamalizana na DPP atangaze "hana nia ya kuendelea na kesi!".
 
Back
Top Bottom