Hamjazoea MTU ka John so poleni huko kwenu mmezoea ukiiba uhuru anawachekeaJohn Pombe Magufuli ana udikteta lakini...just saying.
AiseeHuyu ndugu yenu anzeni tu kugawana mali zake huko Kenya sababu hamtakaa mumuone
Nilisema hapa kuwa wakenya kutaka kufungua ofisi ya ubalozi arusha kuna ajenda ya kufanikisha wizi wa madini yetu Kwa namna moja au nyingine serikali ya Kenya inatumiwa na wazungu na wezi wa kimataifa kuujumu nchi jiraniAisee
Lazima kesi hii iwe fundisho!
Bigwaga.Tz sio shamba la bibi tena. Kenya muligwa?
Acha AkioneHamjazoea MTU ka John so poleni huko kwenu mmezoea ukiiba uhuru anawachekea