Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
.nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa🤣🤣🤣🙌Mla panya kwa mademu wenye mizigo hajambo aisee yaani inakuaje au anajisikiaje kuona demu wake anachapiwa na bado anamsamehe huyu mnyaki eti kisa ana mzigo yaani mla panya kwa mademu wenye mizigo haumiuambii kitu yaani hata akichapiwa yeye kwake sawa ila wala panya bwana wana udhaifu mkubwa kwa hawa wanyaki
Na si unakumbuka hata yule manzi aliyekuwa nae before alikuwa anachapiwa na mchezaji mmoja wa morogoro aliyekulia kinondoni na walikuwa washikaji kinoma na baada ya mla panya kugundua akampiga chini huyu msukuma aliyekulia Tabata akaenda kwa mnyaki
Mbona hii ni rahisi. Kooooh kooooh koooohSijaelewa kitu😜
Au hayanihusu?
Na na nani? Niambie!😜Mbona hii ni rahisi. Kooooh kooooh kooooh
UmriSijaelewa kitu😜
Au hayanihusu?
Wanajifanya kusamehe. Mchepukaji hasamehewi aisee. Atarudia tu.Infidelity ni mbaya kwenye uhusiano ,ukigundua mwenza wako mchepukaji ni bora ubaki tu single.
Poshy queenMnyaki ndo Nani?