Huyu mmasai wa TikTok kutoka Tanzania anaipaisha sana Tanzania huko india, atambulike angalau..

Huyu mmasai wa TikTok kutoka Tanzania anaipaisha sana Tanzania huko india, atambulike angalau..

barafuyamoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
32,378
Reaction score
29,739
Habari zenu...
Nimejikuta nimedondokea ktk instagram trends na kukuta kuna huyu mmasai wa tanzania anaitwa Kili Paul na mdogo wake wa kike Neema...
Wamekua maarufu sana ktk mitandao ya kijamii haswa tiktok, indtagram na youtube... wanafanya interview na media za india online.
Na kila muhindi akiwahoji anaitaja tanzania, maana yake analitangaza jina la tanzania ktk industry ya india.
Yaani ni big topi huko india ila hapa tz kimya hamna anayewaongelea licha ya wao kuitangaza tz...
Nashauri wawezeshwe kwa vyovyote pia wafaidike na wanachokifanya.
Account zao za instagram na tiktok @kili_pau na @neemapaul155 ...

D1673213-57E0-48DA-92B4-B42EBE0609B2.jpeg
 
Raphiki unajipigia debe sio.....
Mimi sio mmasai.. nimeikuta ktk mitandao hiyo nikaappreciate anachofanya ila inaonekana hafaidiki na chochote. Anafanya for the love..
Anaitangaza tz ila pia inaonekana hata hao wahindi wanamtumia kutangaza kazi zao... haswa wasanii wa huko, wanamwbia afanye clip ya myimbo zao alafu nao wanaIpost kujiboost..
Jamaa india ni maarufu sana kwa sasa... ila ndio hivyo hafaidiki chochote. Wahindi wanaitaja taja tz..
 
Habari zenu...
Nimejikuta nimedondokea ktk instagram trends na kukuta kuna huyu mmasai wa tanzania anaitwa Kili Paul na mdogo wake wa kike Neema...
Wamekua maarufu sana ktk mitandao ya kijamii haswa tiktok, indtagram na youtube... wanafanya interview na media za india online.
Na kila muhindi akiwahoji anaitaja tanzania, maana yake analitangaza jina la tanzania ktk industry ya india.
Yaani ni big topi huko india ila hapa tz kimya hamna anayewaongelea licha ya wao kuitangaza tz...
Nashauri wawezeshwe kwa vyovyote pia wafaidike na wanachokifanya.
Account zao za instagram na tiktok @kili_pau na @neemapaul155 ...

View attachment 2037954
Kuitangaza Tanzania sisi inatusaidia nini? Kwanza hawa wahindi waliopo tu ingekuwa amri yangu ningewafukuza wote.
 
Kuitangaza Tanzania sisi inatusaidia nini? Kwanza hawa wahindi waliopo tu ingekuwa amri yangu ningewafukuza wote.
Tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo tobo............tobo.
 
Back
Top Bottom