Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Gari kama hiyo automatic inakua haina ladha kabisa. Mfano mtu anachukua Hilux D4D automatic. Naona kama anapoteza hela hiviSasa hio machine ya maana afu ina Automatic transmission,ya nini sasa mkuu?
Kabisa mkuu nadhani wachache watakuelewa hapa.Gari kama hiyo automatic inakua haina ladha kabisa. Mfano mtu anachukua Hilux D4D automatic. Naona kama anapoteza hela hivi
Watu wengi wamezoea automatic ila hizi gari kubwa za diesel upate manual ni tam sana aseeKabisa mkuu nadhani wachache watakuelewa hapa.
Wanaomsingizia ama kumchukia makonda hawajaanza Leo toka enzi za bashiteee,lakini Mungu mkubwa alivuka na hata sasa atavuka tumwombee.Huyu hadi 2020 miezi kama hii ntakuwa nalo home.
Kikubwa afya na uzima basi! View attachment 1162163View attachment 1162164View attachment 1162165
Weweeeeee unaumwa ugonjwa gani??Wanaomsingizia ama kumchukia makonda hawajaanza Leo toka enzi za bashiteee,lakini Mungu mkubwa alivuka na hata sasa atavuka tumwombee.
Ugonjwa wa kusamehe kwani wewe huja ambukizwa?Weweeeeee unaumwa ugonjwa gani??
Sisi tunajadili kuhusu Magari huyo makonda anahusikaje Kwenye magari??