Huyu Mo ni tapeli, Magufuli atusaidie kumdhibiti

MO pale Simba anafaidika na nini? Anatoa hela nyingi kuliko anazoingiza ndiyo maana anapambana Simba ifanye vizuri Champions league ila siyo VPL

Kabla hatujaendelea ningependa kujua kiwango chako cha elimu?
 
waswahili bhana mna tabu sana. yaan kila kitu magufuli tusaidie kila kitu rais hv hamjiskii aibu, ulio andik hii post kidogo unaonekana una akili ila sijajua umekwama wapi" hv uyu maguful hana wasaidizi wake? huwa nachukiaga sana watu wa namna hii yaan kitu kidogo tu hata kama wapo watu wa chini wanaoweza ku solve ilo tatizo bado anatajwa rais, ina maana mo kwako ndio kipa umbele no moja? uyo rais unayetaka akusaidie kwenye mambo ya mpira ina maana hana majukumu mengine ya kufanya? mbadilike jaman wa tanzania sio kila kitu bas afanye rais
 
Kweli yale majengo ya simba unaweza kukopea ukapata hizo bil 20?
Kuwa serious na vitu vya msingi
Hivi unajua kwanini nyumba mbovu kariakoo zinauzwa mabilioni, jengo la simba thamani yake ni kubwa ingawa haifiki bilioni 20
 
Mara zote ukiona adui anakusifu, angalia mbinu zako.

Ila ukiona adui anakuponda, shikilia hapo hapo maana atakuwa anaumia.

Nadhani nimeeleweka.
 
Simba na Yanga wanaigana kila kitu....mpaka visivyopaswa kuigana
 
Manyani wanateseka sana
 
Nyie mfokeeni tu, tuulizeni sie wa jangwani yaliyotukuta tulipochezea ndevu za Manji.
 
On point
 
Acha wivu baki na utopolo yako mkuu
 
mwamedi tapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…