Huyu Mo ni tapeli, Magufuli atusaidie kumdhibiti

Huyu Mo ni tapeli, Magufuli atusaidie kumdhibiti

Hivi huyu Mo anawezaje bila aibu kusema bado hajawekeza Bilion 20 Kwa mujibu wa mkataba Ila anachofanya sasa ni kuipa Simba 'ruzuku' ya bilioni 3 kila mwaka?

Simba sio timu ya kupewa ruzuku.
Timu kubwa kuliko zote east Africa Kwa fan base inampa yeye Mo 'free promo ya Bidhaa zake zote '
Hadi anaweza kuwazidi Azam Kwa sales...hadi Diamond kampa free promo Kwa kupitia Simba..


Toka ajihusishe na Simba mauzo ya Bidhaa zake yame tripple na amekusanya zaidi ya hizo bilion 3 kila siku Kwa faida..halafu bila aibu anakuja kusema anatoa ruzuku Simba...

Magufuli atusaidie kumdhibiti huyu Mo..agharamie matangazo yote ya Bidhaa zake kimkataba na atoe hela Kwa mujibu wa mkataba

Mzee mwenzangu leo sijakuelewa kabisaaaaaa sijui umekula maharagwe ya wapi [emoji23]

Kwa mujibu wa taratibu sioni Magufuli anahusikaje na hili

Pili wewe hujui mikataba inasemaje kuhusu hizo b20 kwamba zitatokaje kwa awamu ngapi na baada ya stage ipi ya transformation

Tatu hujui chochote kuhusu ruzuku kama ni sehemu ya mkataba na haihusiani na 20b

Kuhusu matangazo mzee baba ni sehemu ya mkataba Mo kuwa mwekezaji mapesa yote hayo ni matangazo yatakayo mlipa zaidi kuliko gawiwo unalofikiria wewe

So relax mkuu kila kitu kinakwenda accordingly to mkataba
Mo anamkataba na Simba na hakuna mahali umesikia Simba SC imelalamika Mo anaitapeli

Sijui wewe ni shabiki wa timu gani lakini kwanini wasio kuwa wana simba ndio wanajifanya wanauchungu sana na Simba kutapeliwa na Mo?.........najiuliza tu
 
Masikini wana taabu sana, mtaachiwa li timu lenu mrudi kwenye migogoro na hatimaye muwe wabovu kuliko yanga
 
Hao wenye hisa 51 % wametoa kiasi gani Cha kuwa na thamani ya asilimia hizo?
Mkuu hapa utakua unakosea
Simba ni mgodi tayari unathamani Mo ni mchimbaji anatakiwa kutoa gharama za kuwezesha simba kupata hayo madini

Ni sawa na wewe uwe na basi bovu lakini una ruti nzuri ila unapata hasara sababu basi bovu kila siku gereji
Natokea mimi nakwambia hili basi likiwa zima thamni yake ni milioni 100 lakini mimi ntaweka milioni 50 tulikarabati liwe safi lianze safari na mapato tutagawana 50/50

Ndio ilivyo kwa Mo na Simba mkuu
 
Tatizo mtu anapotoa mada hizi watu wanajadili kiushabiki tena wanakushambulia na matusi juu na mo anatumia watu kama hao kama kinga yake.
Nkwabi alipohoji hizo pesa alikuwa anapiga vijembe Twitter na kumgombanisha na wanachama wa simba .
Mo kutoa bilioni 20 si hisani ni wajibu wake na hizo pesa anazotoa ni faida anayopata kwa kuweka fixed account.
Aliwapumbaza simba wasimpe timu mtu mwingine bila yeye kumbuka alivyogombana na uongozi wa simba kuongia mkataba na sportpesa aliona kama simba wakipata udhamini mkubwa yeye asingepata simba kwa bei rahisi.
Alikuwa anataka hati ya jengo ili akakopee benki lakini kina Kilomoni walimshitukia
 
Hivi huyu Mo anawezaje bila aibu kusema bado hajawekeza Bilion 20 Kwa mujibu wa mkataba Ila anachofanya sasa ni kuipa Simba 'ruzuku' ya bilioni 3 kila mwaka?

Simba sio timu ya kupewa ruzuku.
Timu kubwa kuliko zote east Africa Kwa fan base inampa yeye Mo 'free promo ya Bidhaa zake zote '
Hadi anaweza kuwazidi Azam Kwa sales...hadi Diamond kampa free promo Kwa kupitia Simba..


Toka ajihusishe na Simba mauzo ya Bidhaa zake yame tripple na amekusanya zaidi ya hizo bilion 3 kila siku Kwa faida..halafu bila aibu anakuja kusema anatoa ruzuku Simba...

Magufuli atusaidie kumdhibiti huyu Mo..agharamie matangazo yote ya Bidhaa zake kimkataba na atoe hela Kwa mujibu wa mkataba
This is too low aisee
 
Simba imeporwa na mafisadi ki mafia.
Azam tv anatoa bilion 5 za matangazo
Sportspesa anatoa billion 5
Voda 5 billion
Yeye anaetumia brand ya simba atakavo ndo anatoa 3 b ? Ndio apewe simba kuimiliki by 70% ?
Katika Masharti ya "kumuuzia" club yetu ni kujenga uwanja a mpira wa kisasa na kutoa premium ya 20billion itayo wekezwa ili kuondoa utegemezi.
Yote hajafanya hilo. Ni kinyume na mkataba hivo kisheria umevunjika.
Utapeli alioufanya ili kuwadhibiti wanachama ni kuwapa share wote kwa kugawana 20% ya shares.
Hivo kawaziba mdomo kwani wamepata hisa bila kulipa kitu.
Haji manara ndio mpiga domo wake kubabaisha watanzania juu ya utapeli huu.
Ametumia vyombo vya dola kuwadhibiti wapinzani wa fisadi huu.
Mo imetapeli viwanda na ma gowdown kibao yalio kuwa RTC sasa ametapeli Simba timu iliojengwa kwa jasho na wazee wetu.
Teh teh teh Yanga mnaumia sana na Simba ya Mo..

Komaeni na huyo Injinia feki asiye na vyeti Mkimbizi kutoka Habeshi 😂😂😂
 
Mchakato haujakamilika ? Au Hawa taki kuukamilisha!!

Niwaambie tu mnaosema sijui anatoa hisani ya 3bil a year na haingizi chochote ni hvi hakuna CAPITALIST duniani anayefanya biashara ya hasara.
Kwani Simba nayo haiingizi chochote?? Uwekezaji wowote ni win win boss..

Hata Dangote ameinvest apate faida lakini pia wateja wake wanapata cement kwa bei rahisi...

Dhumuni lolote la timu ya mpira kwa mashabiki ni kushinda vikombe na sio kugawana pesa. Hakuna mwaka nimeona Simba ikigawia wanachama au mashabiki wake pesa, kiu ya mashabiki ni kushinda vikombe. Kama Mo anaiwezesha Simba kushinda vikombe na kucheza mpira safi hilo pekee ni furaha kwa mashabiki. Hayo eti sijui anaiba, sijui tapeli hayana msingi wowote wala hayatuumizi mashabiki..

Yanga pambaneni na GSM wasajili wachezaji sio kwenda kuokota wachezaji waliotemwa au wanaokaa benchi kwenye timu zao..
 
Toka ajihusishe na Simba mauzo ya Bidhaa zake yame tripple na amekusanya zaidi ya hizo bilion 3 kila siku Kwa faida.
images (3).jpeg
 
Kwani Simba nayo haiingizi chochote?? Uwekezaji wowote ni win win boss..

Hata Dangote ameinvest apate faida lakini pia wateja wake wanapata cement kwa bei rahisi...

Dhumuni lolote la timu ya mpira kwa mashabiki ni kushinda vikombe na sio kugawana pesa. Hakuna mwaka nimeona Simba ikigawia wanachama au mashabiki wake pesa, kiu ya mashabiki ni kushinda vikombe. Kama Mo anaiwezesha Simba kushinda vikombe na kucheza mpira safi hilo pekee ni furaha kwa mashabiki. Hayo eti sijui anaiba, sijui tapeli hayana msingi wowote wala hayatuumizi mashabiki..

Yanga pambaneni na GSM wasajili wachezaji sio kwenda kuokota wachezaji waliotemwa au wanaokaa benchi kwenye timu zao..
Nilitaka kuayasema haya lakini nikahisi wenye akili nyepesi hawata nielewa
 
Unajua yeye anapata kiasi gani kutokana na Simba?

Ndicho alichomaanisha The Boss
Sasa akipata shida iko wapi?? Si anatumia zake au anapata bure tu?? Kama huyo The Boss anayo Billion 25 aende kumpindua Mo na yeye apate..

Shida hapa ni Mo anapata au ni nini?? Kuna ambacho Simba inapoteza? Ni kipi?? Mbona wabongo mna wivu wa kipumbavu hivi??
 
Wewe jamaa nilidhani uko njema up steers kumbe ni uto
 
Nilitaka kuayasema haya lakini nikahisi wenye akili nyepesi hawata nielewa
Mkuu shida ya wabongo wengi ni chuki na wivu.. Na wanaopiga kelele wala sio Simba ni wa upande wa pili
 
Sasa akipata shida iko wapi?? Si anatumia zake au anapata bure tu?? Kama huyo The Boss anayo Billion 25 aende kumpindua Mo na yeye apate..

Shida hapa ni Mo anapata au ni nini?? Kuna ambacho Simba inapoteza? Ni kipi?? Mbona wabongo mna wivu wa kipumbavu hivi??
Kama ameenda kinyume na mkataba ni tatizo ila kama walikubaliana hivyo sawa tu..........
 
Nimelisemea sana hili jambo, naona watu wamevaa mawani ya mbao.
 
MO alishawahi miliki Singida united, African Lion na zote izo,zilimshinda inamaana Mo anaipenda sana Simba kuliko klabu alizowahi kumiliki yeye binafsi. Ina maana MO hapati chochote Simba ila ameamua kuja kumwaga miela free? Mbumbumbu fc ebu tumieni akili kidogo sio muda wote mnakua na akili za Manara.
 
Alternative ni nini ?

Kama wapo wenye pesa wakutosha basi wote wange-bid kuchukua hio nafasi ya MO ili nao wapate free Promo...
 
Back
Top Bottom