Huyu Mo ni tapeli, Magufuli atusaidie kumdhibiti

Huyu Mo ni tapeli, Magufuli atusaidie kumdhibiti

Simba imeporwa na mafisadi ki mafia.
Azam tv anatoa bilion 5 za matangazo
Sportspesa anatoa billion 5
Voda 5 billion
Yeye anaetumia brand ya simba atakavo ndo anatoa 3 b ? Ndio apewe simba kuimiliki by 70% ?
Katika Masharti ya "kumuuzia" club yetu ni kujenga uwanja a mpira wa kisasa na kutoa premium ya 20billion itayo wekezwa ili kuondoa utegemezi.
Yote hajafanya hilo. Ni kinyume na mkataba hivo kisheria umevunjika.
Utapeli alioufanya ili kuwadhibiti wanachama ni kuwapa share wote kwa kugawana 20% ya shares.
Hivo kawaziba mdomo kwani wamepata hisa bila kulipa kitu.
Haji manara ndio mpiga domo wake kubabaisha watanzania juu ya utapeli huu.
Ametumia vyombo vya dola kuwadhibiti wapinzani wa fisadi huu.
Mo imetapeli viwanda na ma gowdown kibao yalio kuwa RTC sasa ametapeli Simba timu iliojengwa kwa jasho na wazee wetu.
Voda anatoa 5bil.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli bangi sio kitu kizuri
 
HAKUNA MWANASIMBA MWENYE NONGWA NA MO DEWJI. WENYE NONGWA NI YANGA


Mpira wa kibongo miyeyusho.

Timu hua hazijifunzi.

Zitapitia shida ile ile kila mwaka ila hamna kujifunza hata punje.

Walianza Yanga. Manji anaihitaji Yanga kuliko Yanga inavyomhitaji Manji.

Yakatokea ya kutokea hadi leo timu inasua sua.

Naon Simba wanajiandaa kufuata mkumbo. Kwamba Mo anaihitaji Simba kuliko Simba inavyomhitaji Mo? Au siyo?

Yaani hapa Bongo Yanga akizingua na kua omba omba msimu huu usishangae misimu miwili mbele Simba ikafuata mkondo huo huo.

Na hawajui kujitegemea na hawajawahi kua na mipango ya kujitegemea
 
Ndo leo leo tangu nimeingia jf, nimeona The boss umeandika utopolo..
Hivi mtu anatoa mabilioni analipa mishahara na kusajili wachezaji Bado mnaona utapeli.
Wewe uliwahi kununua hata jezi yasimba kuchangia klabu au kutoa mchango was hata 800,000 kwa wafanyakazi wa klabu ? Kabla ya kusema Mo tapeli think twice !
Je bila Mo mna power ya kusavaivu kwa muda upi. Wenye chokochoko Wengi unakuta huna hata kadi ya uanachama hapo.
#mchakato bado
Unajua yeye anapata kiasi gani kutokana na Simba?

Ndicho alichomaanisha The Boss
 
Simba imeporwa na mafisadi ki mafia.
Azam tv anatoa bilion 5 za matangazo
Sportspesa anatoa billion 5
Voda 5 billion
Yeye anaetumia brand ya simba atakavo ndo anatoa 3 b ? Ndio apewe simba kuimiliki by 70% ?
Katika Masharti ya "kumuuzia" club yetu ni kujenga uwanja a mpira wa kisasa na kutoa premium ya 20billion itayo wekezwa ili kuondoa utegemezi.
Yote hajafanya hilo. Ni kinyume na mkataba hivo kisheria umevunjika.
Utapeli alioufanya ili kuwadhibiti wanachama ni kuwapa share wote kwa kugawana 20% ya shares.
Hivo kawaziba mdomo kwani wamepata hisa bila kulipa kitu.
Haji manara ndio mpiga domo wake kubabaisha watanzania juu ya utapeli huu.
Ametumia vyombo vya dola kuwadhibiti wapinzani wa fisadi huu.
Mo imetapeli viwanda na ma gowdown kibao yalio kuwa RTC sasa ametapeli Simba timu iliojengwa kwa jasho na wazee wetu.

Acha uongo.. azam bilioni 5 anatoa kumpa nani? Na sports pesa anatoa bilion 5 kumpa nani?
 
Wajinga ndio waliwao!
Mpaka leo hii Simba inaendeshwa kwa ruzuku ya pesa za kutoka mfukoni mwa mtu!!!

Unawezaje kufanya usajiri wa wachezaji kwa mabilioni ya pesa ikiwa klabu haiwezi kuingiza faida ya mamilioni?

Yaani klabu kila mwaka inanunua wachezaji wapya kwa mabilioni ya pesa halafu mwisho wa msimu inawaacha tena na kusajiri wapya. Huo ni uwendawazimu.
 
wakiachana na Mo yatatokea yaliyowatokea Yanga walipoachana na Manji
 
Azam 5B
Sportpesa 5B
Vodacom 5B

Jumla = 15B

Halafu Mtu kama unajifanya Mjuwaji

Acheni maneno ya vijiweni nyinyi.. sport pesa anatoa 1 bilion only.. azam inatoa less than 300 milion. Vodacom anailipa tff hailipi club.. na tff inazigawanya kwa timu zote kama ruzuku.. mfao huo simba hapati hata milioni 50
 
Magufuli amdhibiti? FIFA ilishakataza kwa Serikali au Siasa kuingizwa kwenye Mpira kwa Nchi zote Wanachama.

Tupe Way Forward yako Je tumfukuze?

Kama bado kuna Mtu hajayaona mabadiliko aliyoyaleta Mo pale Simba basi huyo hatuwezi kumsaidia.

Kwa miaka zaidi ya 80 toka ianzishwe haijawahi kuwa na uwanja wa Mazoezi, leo ujio wa MO tumepata uwanja wa Mazoezi halafu nyie musokuwa na uwezo wa hata kulipia Bili ya Mafuta ya Basi la Timu ndiyo munajitia Ujuwaji usio na maana.
Haya ndiyo yaliyowapata Yanga kujitia ujuaji kwa Manji kwa kufuata akili za Akilimali, hatimae sasa wanababaishwa na GSM kwa Mikataba hewa.
 
Achani hizo unajua voda anatoa sh ngap kwa msimu?

Afu hizo za sportpesa wanatoa milion 900 kwa mwaka

Si umeshaambiwa
Azam anatoa 5Billion
Vodacom anatoa 5Billion
SportPesa anatoa 5Billion
Ambapo Jumla Simba inapata 15Billion.
So, Mo avunjiwe Mkataba tu.

Sasa unataka nini?
 
Si umeshaambiwa
Azam anatoa 5Billion
Vodacom anatoa 5Billion
SportPesa anatoa 5Billion
Ambapo Jumla Simba inapata 15Billion.
So, Mo avunjiwe Mkataba tu.

Sasa unataka nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tz wajinga wajinga wengi sana
 
Naamini hakuna Mshabiki wa Simba anayelalamikia uwepo wa Mo Dewj pale Simba kwani kabla ya kuja Dewji Ubingwa na Mashindano ya Kimataifa tuliishia kuyaona Jangwani tu Mpaka wao Wakajiita 'WAKIMATAIFA' sisi wakatuita 'WAMCHANGANI'.

Lakini ujio wa MO umeifanya Simba kutawala Show yote jambo ambalo Vyura linawaumiza sana.

Ukweli usiofichika wanaotia Chokochoko kuhusu MO ni mashabiki wa Utopolo na wala sio wa Simba.

Mashabiki wa Utopolo wanajua Madhara ya kuondoka kwa MO ndiyomana wanatamani aondoke kwani wao walishajifunza kupitia kuondoka kwa Manji wakaishia kuwa Ombaomba.
 
Hawa matapeli wanaosema mo anatuibia wanashangaza..mo amekuibia nini wewe mshangiliaji wa timu ya Simba..nikikumbuka Simba inachzesha watoto kutoka team B kutokana na ukata..leo mo anawaleta akina Chama alafu mnaleta majungu ya kishamba!
 
Mpira wa kibongo miyeyusho.

Timu hua hazijifunzi.

Zitapitia shida ile ile kila mwaka ila hamna kujifunza hata punje.

Walianza Yanga. Manji anaihitaji Yanga kuliko Yanga inavyomhitaji Manji.

Yakatokea ya kutokea hadi leo timu inasua sua.

Naon Simba wanajiandaa kufuata mkumbo. Kwamba Mo anaihitaji Simba kuliko Simba inavyomhitaji Mo? Au siyo?

Yaani hapa Bongo Yanga akizingua na kua omba omba msimu huu usishangae misimu miwili mbele Simba ikafuata mkondo huo huo.

Na hawajui kujitegemea na hawajawahi kua na mipango ya kujitegemea

Mkuu ukweli mchungu kuumeza ni kwamba kutokana na upeo mdogo wa vilabu vyetu na mifumo mibovu ya soka basi ni kwelli kwamba SIMBA INAMUHITAJI MO ZAIDI KULIKO MO ANAVYO IHITAJI SIMBA
kama ilivyokua kwa YANGA KUMUHITAJI ZAIDI MANJI KULIKO MANJI KUIHITAJI YANGA

Kinachotoeka hapa ni kama vile unavyoona machimbo yetu ya madini, unaweza kudhani nani anamuhitaji mwenzie zaidi kati ya sisi wenye madini aridhini au wanaokuja kuyachimba?

Kutokana na mifumo mibovu ya soka na vilabu kiujumla simba na yanga zipo miaka yote na zinajinasibu kuwa na thamani kubwa which is true.......lakini sasa wanajua kuigeuza hiyo thamani yao kuwa fedha kuendesha club?
Angalia Yanga wanavyo hangaika sasa lakini Simba Mo anatakiwa kuweka 20b mezani pamoja na ruzuku na usajili anaodai kuufanya na bado club mambo ni mazuri sana sana

Mo ni mfanyabiashara najua hapati hasara kuwa Simba lakini sasa huu ni ubia mkuu Mo ana asilimia 49 na anajua biashara Simba wana asilimia 51 hawajui biashara kabisaaaa
Yaani bodi ikikaa Mo akisema sasa ili twende sawa b20 zipo lakini mazingira ya asset za simba yanaweza kufanya b20 yake ikarudi kwasasa au ndio b20 pekee za Mo itatumika kuzaa na faida.......mahesabu yanagoma
Hii mikataba haipo kirahisi kama tunavyojadili hapa mkuu kuna vipengele vina calculate risk nk lazima vizingatiwe

Nirahisi sana kumshutumu Mo kwakuwa hatujui mikataba inasemaje kuhusu kuanza ku inject hizo b20 baada ya hatua gani
Lakini pia si rahisi sana kuona mafanikio angalau Mo ameyaleta pale Simba toka awe muwekezaji mbia

Lakini chakushangaza zaidi wanaolilia sana kuhusu simba kudhulumiwa na kutapeliwa na Mo asilimia kubwa sio wana Simba
Sasa unajiuli huu uzalendo wa wapinzani wako kutetea maslahi yako wanautoa wapi
 
Naamini hakuna Mshabiki wa Simba anayelalamikia uwepo wa Mo Dewj pale Simba kwani kabla ya kuja Dewji Ubingwa na Mashindano ya Kimataifa tuliishia kuyaona Jangwani tu Mpaka wao Wakajiita 'WAKIMATAIFA' sisi wakatuita 'WAMCHANGANI'.

Lakini ujio wa MO umeifanya Simba kutawala Show yote jambo ambalo Vyura linawaumiza sana.

Ukweli usiofichika wanaotia Chokochoko kuhusu MO ni mashabiki wa Utopolo na wala sio wa Simba.

Mashabiki wa Utopolo wanajua Madhara ya kuondoka kwa MO ndiyomana wanatamani aondoke kwani wao walishajifunza kupitia kuondoka kwa Manji wakaishia kuwa Ombaomba.
Na Mimi nimeligundua hili mkuu,mijadala mingi inayoanzishwa humu kumprovoke Mo ni mashabiki wa Utopolo fc, lengo lao eti tufanane nao, Sasa kwa taarifa yenu tutapambana nanyi mpaka kieleweke,ukiona Mo anafaidi kupitia Simba basi na wewe nenda kaweke hizo 20b ili uneemeke.
 
Hao wenye hisa 51 % wametoa kiasi gani Cha kuwa na thamani ya asilimia hizo?
 
Pamoja na hayo yote Simba mnamhitaji saana Mwamedi kuliko yeye anavyowahitaji.
 
Simba imeporwa na mafisadi ki mafia.
Azam tv anatoa bilion 5 za matangazo
Sportspesa anatoa billion 5
Voda 5 billion
Yeye anaetumia brand ya simba atakavo ndo anatoa 3 b ? Ndio apewe simba kuimiliki by 70% ?
Katika Masharti ya "kumuuzia" club yetu ni kujenga uwanja a mpira wa kisasa na kutoa premium ya 20billion itayo wekezwa ili kuondoa utegemezi.
Yote hajafanya hilo. Ni kinyume na mkataba hivo kisheria umevunjika.
Utapeli alioufanya ili kuwadhibiti wanachama ni kuwapa share wote kwa kugawana 20% ya shares.
Hivo kawaziba mdomo kwani wamepata hisa bila kulipa kitu.
Haji manara ndio mpiga domo wake kubabaisha watanzania juu ya utapeli huu.
Ametumia vyombo vya dola kuwadhibiti wapinzani wa fisadi huu.
Mo imetapeli viwanda na ma gowdown kibao yalio kuwa RTC sasa ametapeli Simba timu iliojengwa kwa jasho na wazee wetu.
chuki itakuumiza mzee kilomon
 
Ndo leo leo tangu nimeingia jf, nimeona The boss umeandika utopolo..
Hivi mtu anatoa mabilioni analipa mishahara na kusajili wachezaji Bado mnaona utapeli.
Wewe uliwahi kununua hata jezi yasimba kuchangia klabu au kutoa mchango was hata 800,000 kwa wafanyakazi wa klabu ? Kabla ya kusema Mo tapeli think twice !
Je bila Mo mna power ya kusavaivu kwa muda upi. Wenye chokochoko Wengi unakuta huna hata kadi ya uanachama hapo.
#mchakato bado
Tena ameniboa natamani kumporomeshea matusi. GT wa ukweli unakuwa GT kwa kila kitu hasa kwenye mambo ya msingi. ushabiki unakuwepo ila sio kwa kila kitu. Tatizo la Mo ni lipi hapo. Utapeli wa Dewji uko wapi,kabla hujahoji Dewji jiulize timu ilikuwa wapi. Mo ana 49% wako wapi 51% mbona hamuwazungumzii.

wapuuzi wanasema Simba timu kubwa lakini anayefanya iwe kubwa wanamsakama.

Hii ndio starehe pekee tuliyobaki nayo wengine,siasa imetutia stress hakuna uhuru wa kusema. Tunapata kitu cha kutufurahisha mnaanzia mazwenge..

Kuweni na busara
 
Back
Top Bottom