Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
π π ππππ
fanya hivyo masta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π ππππ
master nina mafunzo ya kila rangi.. siwezi kumlaumu mtumaster unataka upige uje unilaumu hapa? πππ
Nimecheki trend yake ya shule! sidhani kama amezaa, ila ninawasiwasi na matumizi ya mwili wake. Hawa watoto wa chuo hawa. Ni balaa kwa sasa, body business ni as usual.Kanda ya ziwa Binti mwenye miaka 22 ,21 wamesha zaa tayari Tena toto mbili Hadi tatu coz wanaolewa wakiwa under 16!!
Na yeye alishtuka na alijua hicho ulichohisi! defensive mechanism!
Basi tufanye fair challenge...Ah! π― sio rahisi nikuamini haraka haraka!!
what if ukakuta ndio demu wako? π
Nitaunguza mambo.
Au ukute wewe ni mshikaji wangu wa karibu ππ
Alitaka ujiongeze!Kuna kitu alisikilzia lakini hukumwelewa,labda alitaka business!Nimecheki trend yake ya shule! sidhani kama amezaa, ila ninawasiwasi na matumizi ya mwili wake. Hawa watoto wa chuo hawa. Ni balaa kwa sasa, body business ni as usual.
Achana na hao hawataki nile mashibagayose kutoka kwa mtoto laini tukuka, Joanah.
Uko sahihi kabisa.Alitaka ujiongeze!Kuna kitu alisikilzia lakini hukumwelewa,labda alitaka business!
Ukiona dem anakubali mwaliko lakini hataki gem,ujue anataka pesa na hataki uhusiano!!
Ungekua straight zaidi!
Mtego huu master!!Basi tufanye fair challenge...
tubadilishane vyuma.
Chukua hii hapa unipe hiyoπ π
iko Dar na haina usumbufu
View attachment 3071451
au umetupiga na story yako chief wa kiyao?Mtego huu master!!
Kwanza ziwa la nini?We bado mtoto,kacheze na watoto,kwahyo unataka kila mwanamke awe na tt saa 6,
Sisi wakubwa wenzio hatujali hata zikiwa ndala
Linakuwa na waduduSio kama yameiva sana kabla ya wakati wake?
Nipatie namba yake nikutengezee njiaWakuu,
Ulishamtokea mtu lakini sometimes ukawa na wasiwasi sana?
Imenitokea mimi weekend moja hivi.
Huyu Dada wa kisukuma amezaliwa 2003. Muonekano wake na umri vinakinzana sana!
Ni binti nyama za mwili wake zimejipangilia vizuri sana.
Nilikutana nae tukazoeana kwa haraka sana na nilikuja kujua baadae ni mwanafunzi wa mwaka wa pili, mambo ya Afya hapa mjini Daslam!
Katika kuongea ongea tamaa za kiume zikaniwaka!
One time akakubali lunch appointment, na hapo tulipoenda pana swimming! Nilimwomba kabisa abebe costumes za kuogelea.
Alitokea mapema kabisa eneo la tukio, akaniaminisha ni mtu anayejielewa.
Baada ya msosi tukapanga twende majini, alikuwa m'bishi sana ila alinielewa! akaenda akabadilisha, alinipagawisha balaa. Kishundu kimevimba vizuri balaa!! nikajua haya maji yatanikoma.
Nikatafakari sana pale singeweza kufaidi vizuri huyu mtu mgeni kabisa wa maji na kwenye swimming kulikuwa kuna watu wengine wachache. No freedom!
Nikamshawishi twende baharini akaelewa!
Hadi tunatoka out sijawahi kumtongoza kabisa. Nikajua hapa nakula tu tunda, as tutakuwa tumeelewana juu kwa juu but sio kwa siku hiyo.
Wakati tunahamia baharini, nikampanga kabisa tupige wine kidogo kwanza!! alikunywa kidogo mno, anyway sio shida kwasababu sikuwa na plan yakufanya chochote on that day, nilipanga tukumbatiane tu, tucheze na maji and then another day ningekuja na plan kubwa zaidi, she was very relaxed kwa kweli!!
Kwenye maji, nilipoushika mwili wake ndio nikapata mashaka kidogo. Hajui kabisa kuogolea so nilimchukulia boya, nikawa namsaidia tu kuelea elea.
Nikawa najaribu kushika wesere yake kubwa, akaniambia she is not comfortable mimi kumshika as hatuna mahusiano yoyote! Duh, kumbe shida ni mahusiano?
Nikashuka verse pale pale kwenye maji, ili nipate full authority ya kucheza na mwili, akaja na zile pigo za nipe muda nitakujibu, nikajaribu kuforce maneno nieleweke pale pale akaleta ugumu kwa minajili angenijibu siku sio nyingi.
Anyway sikuendelea kusisitiza nikijua anaweza kuboreka akatoka kwenye maji, na hata ile nafasi yakuwa nae pale karibu nikaipoteza.
Sasa katika kucheza cheza na maji ikatokea situation tukakutanisha vifua vyetu, duh! nilichoka aisee.
Binti ana maziwa ya ajabu ni malaini kupita kiasi, nikaanza kujiuliza hii inakuwaje? yaani malaini mno.
Nikatafuta namna nijiridhishe na nilichogusa, hali ikawa the same! Nikawaza huyu mtu ni wa vipi? akivua kile hiko kitopu itakuwaje? kwanini yuko hivyo? nikajiambia maybe ni maumbile tu, ila nikaendelea kuwaza.
Hajawahi kuzaa, ana miaka 21 tu! how comes awe na ziwa la hivyo?
Anyway aliniachia maswali mengi sana, au anajiuza sana? au anapigwa sana?
Juzi napokea ujumbe wake kwa Whatsapp "kuhusu lile jambo lako uliloniambia mimi hapana na haiwezekani"... my reply was very simple.
"Sawa I understand"...
Nikajikuta nafurahia kukataliwa.
βΊοΈβΊοΈ