Huyu mrembo Diamond hawezi kumuacha hivihivi

Haha naona siku hizi watu hatuna mpango na sura wala sauti, wowowoww ndo mpango mzma na nafikiri ndo sababu ambayo inatufanya wengi tumetamani kuona video akiwa kasimama.
Mkuu kumbe na wewe umeunga mkono hoja ya mlengwa kusimama? 😀😀
 
Hisia zangu zinanituma wewe ndio huyo dada, unajipigia promo ili Diamond akugonge. Ila uzuri Mond sio mchoyo[emoji16]
Mkuu umenifanyia shambulio la aibu, itabidi ukapimwe mkojo central, hakuna namna
 
Kichwa chake kina misuli kama yule mdogo wake Alikiba.

Kaimba vizuri.
Ana sura pana sana na hizo rasta alizosuka ndo zinamfanya anaonekana ana bonge la kichwa kama....anyway beauty is in the eyez of an individual....
 
Mbona anaimba nje ya key...

Embu msikieni huyu.
 
Domo kazoea vitu "YUZID" mileage zaidi ya 300,000kms haya mambo anayasikia kwa watu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…