Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
jamani kama ni uzuri huyu binti amejaaliwa, kuanzia shape, sura mpaka rangi. Tutajenga kweli kwa mtindo huu? Yuko wapi yule aliyesema Tanzania hakuna watoto wazuri?

801CADE1-2DA0-40BD-9595-0EAC6C36AAC5.jpeg


C59CD174-4E2D-4943-8268-BA791C59D5A6.jpeg


51E261C3-F352-459D-AB6E-47F0D60C6B72.jpeg


05573522-027C-4856-91B3-4F5B68C5082D.jpeg
 
Tatizo ana maji mengi yaani kama unaogelea
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba hapo jamaa atapoteza hela
 
biashara matangazo ingia DM uliza bei au ukiona hivo fanya show off za kufa mtu huku umemfollow
Ukimfollow onyesha kama unakula bata huko Marina Dubai, mara umepanda ndege daraja la kwanza kwenda kumsalimia Biden, mara unaogelea na kula bata visiwa vya Bora bora Maldives na hizo picha si lazima uende huko mimi nipo tayari kukufanyia photoshop ya nguvu bure huku ukiendelea kula mihogo Buza kwa Mpalange
 
jamani kama ni uzuri huyu binti amejaaliwa, kuanzia shape, sura mpaka rangi. Tutajenga kweli kwa mtindo huu? Yuko wapi yule aliyesema Tanzania hakuna watoto wazuri?

View attachment 2189632

View attachment 2189636

View attachment 2189637

View attachment 2189638
Kimfaacho Mtu kipo machoni pake yeye mwenyewe.

Rafiki mmoja aliniambia ana zaidi ya miaka 19 hajachepuka kwenye ndoa na sababu kubwa ni hadaa na tamaa za macho tu lakini alipokuwa akitongoza warembo haswaa kuliko hata Mke wake hakukuta kitu kwa yaliyomo(ya ndani) kuzidi Mke wake. [emoji849][emoji16]
 
Huyu fetty asikutishe sana....mzuri ila sio hadi wakumfungulia uzi,,Skuiz naona anatrend,enz hzo ndo katoka kwao tanga kutwa hakauki Facebook [emoji2][emoji23],,hata ukichat nae utacheka.
 
Back
Top Bottom