Huyu mrembo simuelewi...

Kwako mjanja mjanja Kwa wengine single mother, ex- ,mlupo,kahaba wangu, mzazi mwenzangu... Au nimezaa naye.......changamka umkule Hana jipya huyo
 
Hauna uchawi wa kizungu(Gari)? Muweke kwenye ndinga Mwambie twende huko kwenye magauni pitiliza mpka geto mfanyie ukinjekitile
 
Habari zenu wana MMU.

Akili za wanawake sometime zinachekesha sana. Iko hv kuna mtoto mmoja wa kisingida mweusi huyo ana kiuno kama nyigu na mshepu mmoja matata
Kanunulie hayo magauni afu ukaambie nataka uyavae nikuone ukiwa umependeza. Inshot nunua magauni anayopenda paku malizia mchezo jiongeze na wewe ila huyo mbona anataka sema ww Ndio unashindwa kumalizia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauna uchawi wa kizungu(Gari)? Muweke kwenye ndinga Mwambie twende huko kwenye magauni pitiliza mpka geto mfanyie ukinjekitile
Huo uchawi wa kizungu sina kaka labda niazime
 
Kwako mjanja mjanja Kwa wengine single mother, ex- ,mlupo,kahaba wangu, mzazi mwenzangu... Au nimezaa naye.......changamka umkule Hana jipya huyo
Sawa mkuu ngoja njitahidi
 
Kweli yan tutafute hela wanaume...mie niliombwa lakin kuna siku nilitoa chap bila kuwaza..usiku napiga mahesabu nikajisemea kimoyomoyo "I made it"..sijaona impact wala kuhoji
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sidhani kama kamzidi huyu huko kijitonyama.
 
Pamoja mkuu kuna uzi upitie hapa ns kakura ikiwezekana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…