Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

We mwenyewe unakera kinoma hujui tu..........................!!!!!!!!!!!!!!
 
Kweli maprosoo naona umeishiwa. kama anataka nafasi ya kuchekesha wewe useme sion sababu ya amponde mwanaume mwenzio ambaye anatafuta cha kupeleka tumbon. usikute hata wewe hapo kazini kwako wanakusema hujui lolote ni KAMLETE na umeletwa na ndugu ya. Kama una shida ya kutoa makavu live nenda bungeni.
Aiseee baba yangu jamaa anatafuta rizki watoto wake nao wasome na wapishane chooni,,, kama unatafuta m2 wa kumpa makavu live ni pm nikupe namba ya jei kei

nawasilisha maoni yangu
 

asante kw kukubaliana na mimi kuwa jamaa hajui ila hapo kwnye bluu ndio kunamfanya afanye fani isiyokua yake ........
 
Mngejua huyo jamaa ndiye kiongozi wa Ze Komedi na mtunzi wa matukio msingesema hivyo. In fact, huyo jamaa amebobea kwenye usanii wa kuiga mtu kimavazi, kinwonekano n.k. Kumbuka enzi zile alipokuwa anaigiza kama lowassa.
 
Muache mganga njaa masikini mwezangu huyo labda namaba ya NEPI naweza kukupa kama utaweza kumchana makavu binafsi mi ndio mtua anaeniboa
 
Mngejua huyo jamaa ndiye kiongozi wa Ze Komedi na mtunzi wa matukio msingesema hivyo. In fact, huyo jamaa amebobea kwenye usanii wa kuiga mtu kimavazi, kinwonekano n.k. Kumbuka enzi zile alipokuwa anaigiza kama lowassa.

Sijakataa yy ni mtunzi tena mzuri tu ila kwenye fani ya kuchekesha hawezi, bora aache tu aendelee na hizo fani nyingine. Mbona SEKI yeye yupo kwenye kundi lakini haigizi coz anajua kipaji hicho cha kuchekesha hana ila ni mtu muhimu sana pale kwenye lile kundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…