na kama kweli anamjali si angemwambia live! majungu sana jamaaUliposhindwa kutaja jina ndio upumbavu wako ulipoanzia,,
Huyu atakuwa yuko kwenye bodaboda,maana angekuwa kwenye basi au mwendo kasi angeweza tu kuandika vizuri...Una uchungu mpaka umekosa utulivu.