Huyu msanii mshaurini atakufa anaedili nae mdada ana vichwa viwili palee makaburi ya luventri

Huyu msanii mshaurini atakufa anaedili nae mdada ana vichwa viwili palee makaburi ya luventri

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
SI mbaya tukashauriana KABLA ya matokeeo

Nimebahatika kumwona msanii MMOJA maarufu HAPA nchini amepanga TANKIBOVU UPANDE WA chadema

NDUGU MPENDWA NAJUA n mgeni nashauri kabinti ulicho nacho katakumaliza kama kaka

Nisingeependa uteseek kaa nachoo mbalii kana mzigo mzuri sura nzuri ila ukikaingia jipangr mkuu

Kanajiuza SINZA kana mwaka WA tanooo so UWE nae KWA akili mkuu

Kam llaza majirani WAWILI makaburi ya luventri
Mungu atusuruu HATA wale unaowanyshwa pombe ukiwa nar awakupndi kama Wakooo kimyaa
 
Acha uboya taja jina la uyo msanii au mfuate umwambie live kqma una uchungu kweli kweli
 
Yaan nimesoma sijaelewa, umeamua kumsaidia kwakutaka kumwambia ukweli lakini hapo hapo umeficha majina yao.

Hapa wanapita wengi...wengi wanajuana na wengi na wengi hao wengine wanaweza kwenda na kumshauri na kumwambia ukweli (kama ni kweli usemacho kina ukweli).

Acha kusita weka wazi ni msanii gani uyo.
 
Taja hata nyimbo basi au au msemo anaoutumia.Au yule okeee!!Baba q....
 
Back
Top Bottom