Hahahah naomba namimi nishangae.....yule dada kila siku ana vunja record mbali mbali mpaka kina beyonce wana muogopa..then kuna watu hawamjui !!!!!!Wataona marue rue[emoji23][emoji23][emoji23]...mimi nilishangaa hata taylor swift hawamjui
Hahahah naomba namimi nishangae.....yule dada kila siku ana vunja record mbali mbali mpaka kina beyonce wana muogopa..then kuna watu hawamjui !!!!!!
Hawamjui aisee nilishangaa sana...ila yule wanamwelewa sana wazungu,
Hivi yule chizi lady gaga kaishis wapi? Na chizi mwenzie miley cyrus
kwenye EDH umemsahau DJ Snake na kina Major lazer..kumbe nawewe ni msanii?ntakufanyia interview utoe knowledge kwa wabongo wengi.Katika muziki wa EDM (Electro, Dance, House, Chill, Funk, Trap 'Original' sio hii ya wavuta Bangi', na Deep) Producer/DJ ndiye anahusika kuanza kuchakata, kutengeneza na kutafuta muimbaji 'Singer' atie sauti na nyimbo hiyo huwa na umiliki wa wake (Kulingana na mkataba pia makubaliano).
EDM Musicians, Producers na Artists wamegawanyika katika makundi kadha wa kadha. Mfano wa EDM Artist ni Alan Walker 'Anao uwezo wa kufanya kitu chochote katika sanaa ya music na arts'. EDM Producers & DJ ni David Guetta, Robin Schulz, Phill Fülder, Dimitri Vegas & Luke Mike, Black Coffee 'Ndugu yetu wa SA', Basti M, Got Lucky na Armin van Buuren. To name a few....
EDM Musicians ni kama, Gianluca Vacchi, Willy William, Nicky Jones etc.
Kwa Africa notable EDM Musicians, Producers & DJ's ni RedOne, Uhuru f/ SA, Black Coffee f/ SA, R3hab na Nahreal f/ Tanzania.
Wenye asili ya East and Central Africa Ni watano tu ambao ni Nahreal, Mimi mwenyewe na Stunner Bitmex na Cuppa.
Ndio nimetaja kwa uchache... Yeah ni complete Artist 'Full Package'.... Bring it on...kwenye EDH umemsahau DJ Snake na kina Major lazer..kumbe nawewe ni msanii?ntakufanyia interview utoe knowledge kwa wabongo wengi.
Hahahah naomba namimi nishangae.....yule dada kila siku ana vunja record mbali mbali mpaka kina beyonce wana muogopa..then kuna watu hawamjui !!!!!!
Aisee..yule mile cyrus ni bangi sana..... nashindwa kuelewa hata alipoishia
Umeongea kuhusu lady gaga.....Nyimbo zake na zipenda sana..yaani niile pop haswaa....... Naipenda sana ile ngoma aliyofanya na R.kelly (do what you want) ni ngoma 1 kali sana.....Bila ya kuzisahau Born on this way..Alejandro..Age of glory
Aisee mkuu- Yule dada anaimba aisee
Wataona marue rue[emoji23][emoji23][emoji23]...mimi nilishangaa hata taylor swift hawamjui
ImagineTaylor Swift?? [emoji23][emoji23] Huyo mtu atakuwa hayupo seriuos
Hiyo On my mind ndio nimemjulia ndio nikakuta ana hivyo vyuma vingine.Ellie balaa lake ni zito.. Love me like u do naisikiliza mpka kesho...
Kuna hizi pia
Burn
Anything could happen
Still falling for u
Army
On my mind
si kweliSia ni mchaga wa Kishumundu kwa asili.
Baba yake ni Mchaga mmoja kwa jina la Mushi alizamiaga Australia miaka ile