Huyu msanii sijawahi kumuelewa

Huyu msanii sijawahi kumuelewa

Kwenye jamii kuna watu wa kila aina, wajinga, WAPUMBAVU, vichaa, wenye busara, vijana, wazee, walemavu, N.K.
Hapa pia ni Jamii forum
We mama nyamaza, ndo nshasema hajui
 
Jay melod anasema,"kama una chuki nenda shitaki mahakamani"
By the way iwe anajua au hajui kama umemzidi kipato basi upo sahihi,ila kama amekuzidi kipato bora utulie tu
 
Jamaa anajua. Wewe itakuwa una chuki binafsi tu.
View attachment 3182349Ukiachana na nyimbo ya "chibonge" "dar kugumu" na "mi amor" hakuna nyimbo ya huyu jamaa niliwahi kupenda wala kuelewa
Anaimba takataka tupu!
na wanaopenda nyimbo Zake tofauti na nilizo orodhesha mimi nao naona Hawana akili tu(kidding)😄
Povu ruksa ila hakikisha una uhakika wa kula January nzima
 
Jay melod anasema,"kama una chuki nenda shitaki mahakamani"
By the way iwe anajua au hajui kama umemzidi kipato basi upo sahihi,ila kama amekuzidi kipato bora utulie tu
Mambo ya kipato yametoka wapi? Sa kama hajui nisiseme
 
Back
Top Bottom