Huyu msanii sijawahi kumuelewa

Kwenye jamii kuna watu wa kila aina, wajinga, WAPUMBAVU, vichaa, wenye busara, vijana, wazee, walemavu, N.K.
Hapa pia ni Jamii forum
We mama nyamaza, ndo nshasema hajui
 
Jay melod anasema,"kama una chuki nenda shitaki mahakamani"
By the way iwe anajua au hajui kama umemzidi kipato basi upo sahihi,ila kama amekuzidi kipato bora utulie tu
 
Jamaa anajua. Wewe itakuwa una chuki binafsi tu.
 
Jay melod anasema,"kama una chuki nenda shitaki mahakamani"
By the way iwe anajua au hajui kama umemzidi kipato basi upo sahihi,ila kama amekuzidi kipato bora utulie tu
Mambo ya kipato yametoka wapi? Sa kama hajui nisiseme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…