Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku mkijua kuwa huyu dogo ni wa 2002 hamtaendelea kubishana nae.Kwenda zako kule au njoo hapa Kino unywe makali makali ukalale kuliko kuandika uharo uharo mtupu.
Utadhani rufufu
Ahahahahahahaahahahaaaa...
Kumekucha . Ng'oa mwiko nyuma akili zikurudie. Vinginevyo utaendelea kuandika pumba kama hiziUtadhani rufufu
Kwahiyo kumbe waliozaliwa 2002 na wanaotumia tecno hawatakiwi kutumia jf? eti anakula ugali wa bure nimewahi kukuomba chochote? nimekudharau sanaSiku mkijua kuwa huyu dogo ni wa 2002 hamtaendelea kubishana nae.
Maishani mwangu siwezi kubishana na mvulana ambae bado anategema wazazi, mtu ashibe huko ugali wa bure na kitecno chake alafu aje kinisumbua humu????
HahahahahahNaona ule mwiko nyuma umeingia zaidi.
Hahahahah.. Huu ushabiki utakuja kuua mtu.
Wenyewe ndio wanapenda. Wametangaza mpaka kwenye nembo yaoHahahahah.. Huu ushabiki utakuja kuua mtu.
Mzee Mpili ndio aliwapoteza kwenye huo msemo.. "Daima mbele mwiko nyuma" hahahahahahWenyewe ndio wanapenda. Wametangaza mpaka kwenye nembo yao
anachekesha kwa kweli kuna muda akajifanya anamuuliza chama nani anaemfundisha kuandikia kiswahili mtandaoni sijui alidhani atasema mkudeMchambuzi mwenyew ni mwananchi...so yule ni puppet tu ........Kama. vile tulivyo mpeleka manara field .....pale MAKOLO FC
Kama yule aliyewapa jina la UTOPOLO[emoji23][emoji23][emoji23]Mzee Mpili ndio aliwapoteza kwenye huo msemo.. "Daima mbele mwiko nyuma" hahahahahah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍Utadhani rufufu