Huyu msichana ana akili kweli? Ndo meseji gani hii alontumia?

Huyu msichana ana akili kweli? Ndo meseji gani hii alontumia?

Ivi yule Msanii wa WCB. Harmonize mmakonde yupo, maana kitambo sijamsikia
 
BABY NAMALIZIA KUTENGENEZA MUVI YANGU, SASA
TUMETENGENEZA KILA KITU ILA SASA
TUNATAKIWA TUNUNUE SCRIPT TATU MBILI ZA
BLUU NA MOJA NYEKUNDU BABY, HIZI ZINATAKIWA
SANA MAANA SIKU HIZI MUVI LAZIMA ZIWE DIJITO.
BABY DA WEMA ANAENDA CHINA WIKI IJAYO NILIKUWA NATAKA AKANINUNULIE ILI KUSEV
GHARAMA. BABY PLEASE NAOMBA MILIONI KUMI TU
ZA KUNUNULIA HIZO SCRIPT TATU NA MBILI ZA
ZIADA KWA AJILI YA MUVI IJAYO. BABY PLEASE'
Mkuu kwani mara ya mwisho ulipokuwa unakamua mbunye yake alikuambiaje na wewe ulisemaje?
 
Script ni wigi au?sie wengine wageni humu
 
Ulivyo date na ma actress wa kibongo unategemea nini ?
Dah...halafu unaweza kukuta hizo zote ni saund tu ....hakuna chochote... Mimi nilimuweza mmoja wao baada ya mizinga kuanza kuwa mikubwa....kwa kumwambia tuwe biznes partners ili niweze kuona hayo matumizi yenyewe....mizinga mikubwa ikaisha ghafla[emoji4] [emoji4]
 
Mkuu mm nauza 10 kwa elfu hamsini. Nipo china narudi next wk. mwambie aje kwangu nimpe bureeeeeeeeeeeeeeee 5. Nitumie namba yake. Mwambie nauza na location nyeupe, njano, kijani, pink. Nunua moja pata 4 bure
 
Mkuu mm nauza 10 kwa elfu hamsini. Nipo china narudi next wk. mwambie aje kwangu nimpe bureeeeeeeeeeeeeeee 5. Nitumie namba yake. Mwambie nauza na location nyeupe, njano, kijani, pink. Nunua moja pata 4 bure
Unauza na location?? Hahahaha
 
Back
Top Bottom