Ni Ray C.
Nilijaribu kumsikiliza anavyoweza kutoa hoja na ku-tackle maswali ya mtangazaji kwenye media. Ilikuwa ni kwenye kipindi cha Mkasi wiki hii. Kwa kweli nilimkubali anajua kutoa hoja, she must be smart!Halafu anaonyesha ana exposure nzuri sana na industry anayofanyia kazi. Big up Ray C mjukuu wangu
Uwongo dhambi huyo mtoto panapo kati yupo sawa tatizo hanyimi
oh.... haya!Tunaongelea anapokuwa mbele ya media tafadhali, na si anapokuwa club au wherever