Huyu msichana anaonyesha yuko smart!

Makanyaga

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2007
Posts
11,129
Reaction score
7,321
Ni Ray C.
Nilijaribu kumsikiliza anavyoweza kutoa hoja na ku-tackle maswali ya mtangazaji kwenye media. Ilikuwa ni kwenye kipindi cha Mkasi wiki hii. Kwa kweli nilimkubali anajua kutoa hoja, she must be smart!Halafu anaonyesha ana exposure nzuri sana na industry anayofanyia kazi. Big up Ray C mjukuu wangu
 
Hiyo kazi anayoifanya Salama leo hii, Ray C wakati anaifanya Salama alikuwa kwao Mchambawima anauza tende.
 

Acha umbulula. Yuko smart kwa lipi? Wabongo bana wakikosa point wataandika chochote ili mradi waonekane wamenzisha uzi.
 
Tanzania nilini tumkubali mtu kwa kile kizuri anachofanya tumpe moyo nakuendeleza kizuri kiukweli tubadilike ndugu zangu
 
Uwongo dhambi huyo mtoto panapo kati yupo sawa tatizo hanyimi
 
Uwongo dhambi huyo mtoto panapo kati yupo sawa tatizo hanyimi

Yaan siyo mchoyo,harafu alivyokuwa kijugu alikuwa anatoa kwa gharama ya kete moja tu ya sembe,na ilikuwa milango yote.lakini hapa alipofikia anastahili pongezi.
 
Acha umbulula. Yuko smart kwa lipi? Wabongo bana wakikosa point wataandika chochote ili mradi waonekane wamenzisha uzi.

Kwa nini unawachukia watu? Binadamu unatakiwa uwapende watu
 
Nimemsikiliza akihojiwa na Hando na kwenye mkasi anaonekana bado ana tatizo la kisaikolojia la kulaumu watu kwa tatizo lake especially ex wake Lord eyes na marafiki zake kwamba walimtupa wakati yuko teja,anatakiwa apate councelling vile vile ana tatizo la hasira za haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…