Huyu msichana kaninunia ghafla bila sababu

Huyu msichana kaninunia ghafla bila sababu

Sharobaro la jf

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
237
Reaction score
325
Katika kitu ambacho kilikuwa kinaniumiza kichwa kipindi nimeanza mapenzi kipindi hicho nipo Form 3 mwaka 2012 ni kuhusu mapenzi. Zamani nakumbuka nilishawahi kupendana na msichana mmoja tulikuwa tupo mtaa mmoja, sasa kama mnavyojua hawa viumbe wakiona wanapendwa sana basi wataanza kuleta visa mara hivi ili kupima attention yako.

Kipindi kile walikuwa wakichezea sana kama gari bovu hadi nakuja kukomaa kwenye masuala ya mapenzi nilikuwa tayari nishaumizwa vya kutosha.

Nije kwenye mada, kuna huyu msichana wangu tulikuwa tupo kwenye mahusiano now ni miezi mitatu sasa toka tumekutana. Nakumbuka kipindi cha mwanzo alikuwa akinionyeshea mapenzi na kunipa maneno matamu kuwa nipo pekeeangu na kuniaminisha kuwa ananipenda haswa ila baada ya masiku kusogea ghafla akaanza kubadilika tabia, ikawa inapita hata siku mbili bila kuona sms yake.

Mambo sasa yamekuwa mambo kwani ameamua tu kuuchuna kimya na sasa imepita wiki mbili na mbaya zaidi amekuwa akiview status zangu za Whatsapp na kupita kimya.

Japo hakuna kosa nililomkosea, kinachonishangaza ni kwanini kaamua hivi?

Wakuu naombeni mnipe mitazamo yenu na natumaini nitapata mawazo bora kutoka kwenu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Mi mwenyewe nilikua jeuri kama ww dem ananionyesha ananipenda kila siku ananitafuta mi simtafuti kila siku had aanze kunipigia sim yeye au aanze kunitumia sms mwsho wa siku amechoka katulia na mm nmetulia kwahiyo Kama unampenda anza ww kumtafuta

Sent using GunTrigger
 
sawaa mkuu
Mi mwenyewe nilikua jeuri kama ww dem ananionyesha ananipenda kila siku ananitafuta mi simtafuti kila siku had aanze kunipigia sim yeye au aanze kunitumia sms mwsho wa siku amechoka katulia na mm nmetulia kwahiyo Kama unampenda anza ww kumtafuta

Sent using GunTrigger
 
Point ya msingi kwanza utuambie papuchi alikupa au alikuwa ana kupanga..kama ulishamla mteme hapo huna chako mkuu..kama hujamla na ameshakulia vyako mseti taratibu tuu akijaa kwenye18.

Unakula mzgo alafu una mbwaga kibaharia unaaga kama unaenda dukani unamuacha guest afue mashuka huko..malipo hapa hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kitu ambacho kilikuwa kinaniumiza kichwa kipindi nimeanza mapenzi kipindi hicho nipo Form 3 mwaka 2012 ni kuhusu mapenzi. Zamani nakumbuka nilishawahi kupendana na msichana mmoja tulikuwa tupo mtaa mmoja, sasa kama mnavyojua hawa viumbe wakiona wanapendwa sana basi wataanza kuleta visa mara hivi ili kupima attention yako.

Kipindi kile walikuwa wakichezea sana kama gari bovu hadi nakuja kukomaa kwenye masuala ya mapenzi nilikuwa tayari nishaumizwa vya kutosha.

Nije kwenye mada, kuna huyu msichana wangu tulikuwa tupo kwenye mahusiano now ni miezi mitatu sasa toka tumekutana. Nakumbuka kipindi cha mwanzo alikuwa akinionyeshea mapenzi na kunipa maneno matamu kuwa nipo pekeeangu na kuniaminisha kuwa ananipenda haswa ila baada ya masiku kusogea ghafla akaanza kubadilika tabia, ikawa inapita hata siku mbili bila kuona sms yake.

Mambo sasa yamekuwa mambo kwani ameamua tu kuuchuna kimya na sasa imepita wiki mbili na mbaya zaidi amekuwa akiview status zangu za Whatsapp na kupita kimya.

Japo hakuna kosa nililomkosea, kinachonishangaza ni kwanini kaamua hivi?

Wakuu naombeni mnipe mitazamo yenu na natumaini nitapata mawazo bora kutoka kwenu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Aliwahi kukuomba hela na ukashindwa kumpatia?? Maana siku hizi fedha inachukua nafasi kubwa katika kushamirisha kinachoitwa mapenzi..
 
Katika kitu ambacho kilikuwa kinaniumiza kichwa kipindi nimeanza mapenzi kipindi hicho nipo Form 3 mwaka 2012 ni kuhusu mapenzi. Zamani nakumbuka nilishawahi kupendana na msichana mmoja tulikuwa tupo mtaa mmoja, sasa kama mnavyojua hawa viumbe wakiona wanapendwa sana basi wataanza kuleta visa mara hivi ili kupima attention yako.

Kipindi kile walikuwa wakichezea sana kama gari bovu hadi nakuja kukomaa kwenye masuala ya mapenzi nilikuwa tayari nishaumizwa vya kutosha.

Nije kwenye mada, kuna huyu msichana wangu tulikuwa tupo kwenye mahusiano now ni miezi mitatu sasa toka tumekutana. Nakumbuka kipindi cha mwanzo alikuwa akinionyeshea mapenzi na kunipa maneno matamu kuwa nipo pekeeangu na kuniaminisha kuwa ananipenda haswa ila baada ya masiku kusogea ghafla akaanza kubadilika tabia, ikawa inapita hata siku mbili bila kuona sms yake.

Mambo sasa yamekuwa mambo kwani ameamua tu kuuchuna kimya na sasa imepita wiki mbili na mbaya zaidi amekuwa akiview status zangu za Whatsapp na kupita kimya.

Japo hakuna kosa nililomkosea, kinachonishangaza ni kwanini kaamua hivi?

Wakuu naombeni mnipe mitazamo yenu na natumaini nitapata mawazo bora kutoka kwenu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Soma dogo acha mapenzi ukiwa shule utafeli.
 
Kanuni yangu;
Usiponitafuta sikutafuti.
Tahadhari!
Nimepoteza watu wengi wa muhimu kutokana na kanuni hiyo.Huwa sipendi kugandana gandana.
kwa nin utafutwe wewe tu?una nini cha ziada?hapo ndio nyie wavulana na wasichana huwa mnakosea,mapenzi huwa ni two ways traffic. usitegemee wewe tu ndiyo uwe wa kuanza kutafutwa tu siku zote as if wewe ni Mungu.kama hupendi kugandana kwa nin usiache na wewe kuwatongoza ili wasikugande?
 
Back
Top Bottom