affimation
Member
- Jan 25, 2019
- 48
- 105
Maulidi Kwani lazima utumie nguvu?
Hua amekua akitumia nguvu sana hasa vipindi vya asubuhi vya magazeti.
Sasa kuna video clip zake hua anazitumia instergram, akiwa anaonyesha anavyotangaza, kwa mbwembe hasira na mikogo! wakati mwingine atishiane na mtu,
Kusema kweli anakera, punguza hayo nambo makelele yote ya nini!View attachment 1006261View attachment 1006263View attachment 1006262
Sent using Jamii Forums mobile app
Hua amekua akitumia nguvu sana hasa vipindi vya asubuhi vya magazeti.
Sasa kuna video clip zake hua anazitumia instergram, akiwa anaonyesha anavyotangaza, kwa mbwembe hasira na mikogo! wakati mwingine atishiane na mtu,
Kusema kweli anakera, punguza hayo nambo makelele yote ya nini!View attachment 1006261View attachment 1006263View attachment 1006262
Sent using Jamii Forums mobile app