Huyu mtangazaji kusema kweli anakera sana/ anabore. aina ya utangazaji wake ni kama ujuha. (Maulidi kitenge)

affimation

Member
Joined
Jan 25, 2019
Posts
48
Reaction score
105
Reactions: THT
Jamaa anatumia nguvu nyingi sana.
 
Nadhani wewe hujajua aina ya segment yake ina maudhi gani, yeye anatumia sarcasm kufikisha ujumbe. Lakini kama anakuboa why are you wasting your time kumfatilia?? Acha kuna watu wanamuelewa na style yake hiyohiyo. Tatizo wabongo mmekariri mtu asipofit katika box lenu mnaona hafai program manager wanapitia kipindi na kinarushwa mnyalukolo unatoa povu Jamiiforum. Tujifunze ku appreciate vitu na kukubali ideas za watu hata kama hazi appeal kwetu.
 
Mimi mbona freshi ndio napendaga
 
Maulidi anapatia sana kusoma magazeti,yaani akikosekana kipindi cha magazeti kinaboa sana!! Namkubali sana Kitenge hasa anapochambua title na kuonyesha msisitizo.
 
Yaani mtu anakuboa halafu bado unamsikiliza tu?! Kweli msongo mwingine wakujitakia.
 
Maulid anajua sana kwenye magazeti.... wewe una lako jambo
 
Iko ndo kinachompa umaarufu.Aina ya utangazaji wake watu wengi wanafurahishwa nao that's why kipindi chake ni pendwa...Afu kama humkubali c ukaushe tu kwani umelazimishwa!!
 
Anakukera ww sio wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…