Huyu Mtangazaji Scola Kisanga wa Kipindi cha DADAZ cha EAtv ana Wanaume / Mabwana wangapi hadi hivi sasa?

Huyu Mtangazaji Scola Kisanga wa Kipindi cha DADAZ cha EAtv ana Wanaume / Mabwana wangapi hadi hivi sasa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani tokea nianze kumsikia na kumfuatilia Yeye kila siku tu utamsikia anafanya ' reference ' kuwa alipokuwa na Mwanaume fulani mara huku na kule hadi najiuliza mpaka hivi sasa ameshawahi kutembea ( Kubanduliwa ) na Wanaume wangapi labda?

Nina muda wa Miezi miwili sasa tokea nianze Kukitizama hicho Kipindi chao ( kwani huwa kina mambo mengi tu mazuri ya Kujifunza hata kwa Sisi Wanaume juu ya Kuishi na hawa Wadada / Wapenzi wetu ) ila amekuwa akiniacha hoi pale ambapo kila ikiibuliwa tu mada fulani utamsikia akisema namnukuu.." Mimi niliwahi kuwa na Mwanaume fulani hivi ". Kwa kumbukumbu zangu hadi hivi sasa huyu Mtangazaji ameshataja idadi ya Wanaume 62 aliowahi kuwa nao.

Je huwa anafanya tu hizo ' references ' zake za Wanaume kama tu ' Kunogesha ' Kipindi chao Kizuri cha DADAZ au anamaanisha na kwamba ni ukweli kwamba Yeye ni Mtu wa kuwa / kutoka na Wanaume mbalimbali ndani na nje ya Tanzania? Kama huwa anatania au anamaanisha mwambieni au mshaurini kuwa ' anajiharibia ' na haijakaa vyema Kwake na anaweza tu akatumia aina nyingine ya ' Uwasilishaji ' wake.

Nawasilisha.
 
Ninachojua 100% ya Wanadamu ' naturally ' ni Wambea labda hapa sasa unataka Kutuambia kuwa kuna uwezekano mkubwa Mwenzetu Wewe ukawa siyo Binadamu bali ni ' Lidudu ' fulani hivi kama siyo ' Jini ' pia.
Mimi ni booonge la li dyudyu
 
Usipate tabu sana na hao. Ndiyo tabia yake huoni alivyochoka choka
Na mwenzake huyo
Bhoke ambaye hapendi wageni
Bora hata mwanamama
Mwanne anaongea point sana anaitendea nafasi yake vizuri kama
Mwanamama

Kiufupi references wanazozitumia ni ndivyo walivyopitia..
 
Usipate tabu sana na hao. Ndiyo tabia yake huoni alivyochoka choka
Na mwenzake huyo
Bhoke ambaye hapendu wageni
Bora hata mwanamama
Mwannne anaongea pount sana anarendea nafasi yake vizuri kama
Mwanamama

Nasikia ni ' Mdangaji ' sana.
 
Nasikia ni ' Mdangaji ' sana.

Sana tu.. Na anatumia nafasi ya hapo alipo kuanza kuwasema vibaya wanaume aliopita nao na hata rafiki zake wa kike
Ingawa anasema sitawataja kwa majina.. Huoni kama kuna tatizo linamsumbua huyo.. Kiukweli wanafanya kipindi kiwe kama saloon zao ingawa kinaelimisha jamii kiupande fulani na watazamaj ni wengi hata hivyo anajidharililisha
Hakuna mwanaume atakauemsikia anasema hayo halafu amtafute anzishe naue mahusiano.. Anajipaka tope mwenyewe
 
Yaani tokea nianze kumsikia na kumfuatilia Yeye kila siku tu utamsikia anafanya ' reference ' kuwa alipokuwa na Mwanaume fulani mara huku na kule hadi najiuliza mpaka hivi sasa ameshawahi kutembea ( Kubanduliwa ) na Wanaume wangapi labda?

Nina muda wa Miezi miwili sasa tokea nianze Kukitizama hicho Kipindi chao ( kwani huwa kina mambo mengi tu mazuri ya Kujifunza hata kwa Sisi Wanaume juu ya Kuishi na hawa Wadada / Wapenzi wetu ) ila amekuwa akiniacha hoi pale ambapo kila ikiibuliwa tu mada fulani utamsikia akisema namnukuu.." Mimi niliwahi kuwa na Mwanaume fulani hivi ". Kwa kumbukumbu zangu hadi hivi sasa huyu Mtangazaji ameshataja idadi ya Wanaume 62 aliowahi kuwa nao.

Je huwa anafanya tu hizo ' references ' zake za Wanaume kama tu ' Kunogesha ' Kipindi chao Kizuri cha DADAZ au anamaanisha na kwamba ni ukweli kwamba Yeye ni Mtu wa kuwa / kutoka na Wanaume mbalimbali ndani na nje ya Tanzania? Kama huwa anatania au anamaanisha mwambieni au mshaurini kuwa ' anajiharibia ' na haijakaa vyema Kwake na anaweza tu akatumia aina nyingine ya ' Uwasilishaji ' wake.

Nawasilisha.
Wanaume wa Dar ndio vipindi vyenu!! Kipindi kinaitwa Dadas na wewe siyo dada na unakifuatilia.
 
Wanaume wa Dar ndio vipindi vyenu!! Kipindi kinaitwa Dadas na wewe siyo dada na unakifuatilia.
😁😁 uwezi kupanua fikra ukiwa upande mmoja sikuzote..

Kipindi hicho kinaitwa dadaz ni kwa sababu asilimia kubwa host ni jinsia ya kike ingawa wanawakaribisha jinsia ua kiume katika mijadala mbalimbali..

Usiandike bila kutafakari
 
Back
Top Bottom