Slow down mkuuNinachojua 100% ya Wanadamu ' naturally ' ni Wambea labda hapa sasa unataka Kutuambia kuwa kuna uwezekano mkubwa Mwenzetu Wewe ukawa siyo Binadamu bali ni ' Lidudu ' fulani hivi kama siyo ' Jini ' pia.
Sana tu.. Na anatumia nafasi ya hapo alipo kuanza kuwasema vibaya wanaume aliopita nao na hata rafiki zake wa kike
Ingawa anasema sitawataja kwa majina.. Huoni kama kuna tatizo linamsumbua huyo.. Kiukweli wanafanya kipindi kiwe kama saloon zao ingawa kinaelimisha jamii kiupande fulani na watazamaj ni wengi hata hivyo anajidharililisha
Hakuna mwanaume atakauemsikia anasema hayo halafu amtafute anzishe naue mahusiano.. Anajipaka tope mwenyewe
Wanaume wa Dar ndio vipindi vyenu!! Kipindi kinaitwa Dadas na wewe siyo dada na unakifuatilia.
Kipindi ni kizuri sana na scolar ni mtu machangamfu na muongeaji mzuri tatizo la Scloalar ni moja tuu anaongea mnoo kupitiliza na analeta personal issues zake mbele ya watazamaji. Mafano alishasema alikua anatoka na mume mtu na haoni kama ni shida yy kwake ni kawaida tuu. Siku ya bday yake aliweza kuongelea tofuti iliyopo kati yake na mama yake kwamba hajamlea na hakuwa anampenda mpk leo hampendi kama binti yake ikapelekea na yy kutompenda pia. Katika mazungumzo yake huwa anamtaja sana baba yake kuwa ni mtu wa muhimu na bibi yake. Mimi kwa upande wangu hizi ni personal issues. Mara anawasema rfk zake sasa inamaana hawajijui? Mara jirani zake. Na anapenda sana kulia. Sasa sijui ni matatizo ya kisaikolojia?? By the way ni bonge la mtangazaji ana sauti nzuri ya kutangaza
Acha wivu wewe, kama unaona anafaidi na wewe tafuta mabwana tu.
Hata mimi nashindwa kushangaa hawa wa Dar wanatuaibisha sana...yaani dume zima unakalisha chini pum..bu mbili kuangalia kipindi cha madada?Wanaume wa Dar ndio vipindi vyenu!! Kipindi kinaitwa Dadas na wewe siyo dada na unakifuatilia.
Wekeni picha yake
IG anatumia adope Photoshop nazani ila kisura-sura zipo kama uwele kwa wanaoufahamuMkuu ni Bora usimuone hata sura yake maana ukimuona utajuta kwanini umepoteza muda kumuona.. 😁😁
Nasikia ni mtu wa machame
Huyu dada ni malaya mno nilimfahamu toka wakati anafanya kazi iringa yupo kimaslahi zaidi ameambulia kuambukizwa chunusi konki zisizosikia dawa hata za dk sigwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpaka hivi sasa ametaja wanaume 62 aliowahi kuwa nao. Wewe jamaa yaani wewe unahesabu tu?. Kuna uwezekano mkubwa ananogesha tu kipindi,kwamba anajaribu kuziwasirisha hali halisi za wanaume tofauti tofauti (japo mimi sio msikilizaji wa hicho kipindi). Lakini inaweza kuwa fasihi wasirishi. Hata hivyo inaonekana wewe unamzi100Yaani tokea nianze kumsikia na kumfuatilia Yeye kila siku tu utamsikia anafanya ' reference ' kuwa alipokuwa na Mwanaume fulani mara huku na kule hadi najiuliza mpaka hivi sasa ameshawahi kutembea ( Kubanduliwa ) na Wanaume wangapi labda?
Nina muda wa Miezi miwili sasa tokea nianze Kukitizama hicho Kipindi chao ( kwani huwa kina mambo mengi tu mazuri ya Kujifunza hata kwa Sisi Wanaume juu ya Kuishi na hawa Wadada / Wapenzi wetu ) ila amekuwa akiniacha hoi pale ambapo kila ikiibuliwa tu mada fulani utamsikia akisema namnukuu.." Mimi niliwahi kuwa na Mwanaume fulani hivi ". Kwa kumbukumbu zangu hadi hivi sasa huyu Mtangazaji ameshataja idadi ya Wanaume 62 aliowahi kuwa nao.
Je huwa anafanya tu hizo ' references ' zake za Wanaume kama tu ' Kunogesha ' Kipindi chao Kizuri cha DADAZ au anamaanisha na kwamba ni ukweli kwamba Yeye ni Mtu wa kuwa / kutoka na Wanaume mbalimbali ndani na nje ya Tanzania? Kama huwa anatania au anamaanisha mwambieni au mshaurini kuwa ' anajiharibia ' na haijakaa vyema Kwake na anaweza tu akatumia aina nyingine ya ' Uwasilishaji ' wake.
Nawasilisha.
Alishafanyiwa umafia na jamaa mmoja hatokaa hasahau maisha yake yote, alikuwa na mahusiano na mwanaume ambae ana urafiki na mwanaume mwingine ambae pia ni bwana wake alipelekwa bar akanyweshwa K vant za kutosha bila kuchanganywa chochote kwa lazima na kichapo juu mida ya saa nne usiku wakampakia kwenye gari na kuondoka nae kilichoendelea hatujakijua mpaka waleo.Nasikia kwamba kwa rekodi yake ilivyo mbaya na aliyokuwa nayo huko Mkoani Iringa hasa ya ' Kuwachukulia ' wenzake Waume / Mabwana japo Yeye binafsi amekuwa akikataa katakata na kuruka Kimanga Wanawake wengi wakimuona tu yupo huko ' Unyalukoloni ' basi huwafungia kabisa Waume zao ndani au huambatana nao ng'adu kwa ng'adu kama vile Beki Marehemu Chama na Mshambuliaji Mogella kama sehemu yao ya Kuwalinda na Kukabiliana nae.