Huyu Mtangazaji Scola Kisanga wa Kipindi cha DADAZ cha EAtv ana Wanaume / Mabwana wangapi hadi hivi sasa?


Kwa lugha nyepesi na nyoofu ni kwamba Jamaa walim KONKI KONKI Mkuu au? Nakubaliana nawe na anaonekana anatatizo kubwa la Kisaikolojia japo Yeye hajajigundua. Na huwa namsikia sana akisema kuwa Yeye kamwe hatowahi na haitotokea akaja kuwa na Mahusiano na Mwanaume ' Choka Mbaya / Masikini ' kama Mimi GENTAMYCINE na wenzangu wengine kwani alikiri mwenyewe kuwa kama kuna Kitu anachokipenda hapa duniani ni Pesa / Hela na nakumbuka Watangazaji wenzake walimshangaa mno na wala hakujali.
 
Sizani kama kina T bway na wengine wenye damu zinazochemka pale EATV wamemlazia damu hajielewi anajifanya mjuaji sanaa mwisho wa huo ujuaji wake anajikuta anajianika, kama ulibahatika kusikiliza interview yao kwenye kipindi chao cha radio na polepole ungethibitisha kabisa kuwa hayuko sawa kisaikolojia.
.
Alivyo mnafiki eti "najikubali na chunusi zangu" moyoni anateseka sana yule ana maumivu makali kama kubinywa korodani nani anapenda chunusi kwa jinsi zilivyo na kero
 

Ila Mkuu Mimi sijawahi Kubahatisha kumuona ana kwa ana ila nasikia japokuwa anazimiliki hizo ' Chunusi ' zake nyingi Usoni lakini ana ' Mkia ' wa maana ( namaanisha Kalio au Tako au Wowowo au Inye au Wezere au Uvungu ) Je kwakuwa Wewe unaonekana unamjua ' Kindakindaki ' kuna ukweli wowote hapa?
 
kiukweli nilijiuliza hili swali siku ya kwanza tu naangalia hiki kipindi ,alitoa mifano kama 8 tofauti na yote alijitolea yeye mwenyewe
 
Ana mtako mkubwa wa maana upaja wa maana guu la kisukuma ndivyo vinavyompa ujasiri wa kutojali kuonekana ana machunusi kama mtama.
 
Ana mtako mkubwa wa maana upaja wa maana guu la kisukuma ndivyo vinavyompa ujasiri wa kutojali kuonekana ana machunusi kama mtama.

Mkuu vipi umeshawahi labda ' Kutambaa ' nae nini ' Kibaiolojia ' kwani unaonekana unamjua ' almost ' 99.9% hasa kutokana na utiririkaji na usererekaji wako Kumhusu.
 
Mkuu vipi umeshawahi labda ' Kutambaa ' nae nini ' Kibaiolojia ' kwani unaonekana unamjua ' almost ' 99.9% hasa kutokana na utiririkaji na usererekaji wako Kumhusu.
HAPANA MKUU. Nafahamu mambo mengi ya nyuma kuhusu mahusiano yake ila sijui ya sasa.
 
HAPANA MKUU. Nafahamu mambo mengi ya nyuma kuhusu mahusiano yake ila sijui ya sasa.

Sawa ngoja nimsubirie kumsikiliza kuanzia Saa 11 alfajir hadi Saa 3 asubuhi ya Kesho ambapo huwa anakuwa akitangaza East Africa Radio na pia nitamuangalia tena katika Kipindi chao cha DADAZ cha Kesho nione ' mood ' yake na hili ' Bandiko ' langu atalipokeaje kwani nasikia ni Mtu ambaye huwa yuko ' very emotional ' hivyo nami ' concern ' yangu Kwake ni kuona kwamba ' Bandiko ' hili limemsaidia ili angalau abadilke kidogo kama siyo sana.

Ni Mtangazaji mzuri sana, ana ' pace ' nzuri ya Kiutangazaji na ninachompendea mno ni kwamba ana ' Knowledge ' kubwa si tu ya Masuala ya Utangazaji pekee bali hata mambo mengine ya Kidunia ( Current Affairs ) ukimlinganisha na Watangazaji wenzie pale na hata wa ' Media ' zingine na Mtu ambaye anajituma Kiutendaji huku ' Confidence Level ' yake ikiwa Kubwa tu ila hivi ' Vijitabia ' vyake vingine ndivyo vinamuharibia. Tena angekuwa anaweza nadhani angenishukuru mno kwani hapa ninamsaidia kuliko ambavyo Yeye anaweza akadhani labda namuharibia au namchafua.
 
Tupia picha yake mkuu huenda namimi nilishapita
 
kipindi cha kiduanzi sana nishakataza binti zangu waache angalia huu upuuzi. Kila siku mabwana mabwana hawana matatizo mengine yakujadili ya msingi , Wanawake wa kitanzania wanasafari ndefu sana katika kujikomboa kifikra .
 
Picha
 
kipindi cha kiduanzi sana nishakataza binti zangu waache angalia huu upuuzi. Kila siku mabwana mabwana hawana matatizo mengine yakujadili ya msingi , Wanawake wa kitanzania wanasafari ndefu sana katika kujikomboa kifikra .

Nashukuru na Wewe kuliona tatizo katika hicho Kipindi. Wautumie huu ' Uzi ' kujitathmini na wajirekebishe kwani kuna mambo wanayafanya yanawaharibia kuliko Wao wanavyodhani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…