Huyu mtoto jamani!✔

Huyu mtoto jamani!✔

Bishop Hiluka

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
7,147
Reaction score
14,699
Mtoto mmoja leo asubuhi kaamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelele "Mamaa!" Mama yake akaamka na kumuuliza "nini mwnangu?" Mtoto akajibu "Mama nimeota ndoto mbaya sana," "ndoto gani hyo mwanangu?"
Mtoto akajibu "Nimeota tumefungua shule"...
😀😀😀🙂🙂🙂
 
Mtoto mmoja leo asubuhi kaamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelele "Mamaa!" Mama yake akaamka na kumuuliza "nini mwnangu?" Mtoto akajibu "Mama nimeota ndoto mbaya sana," "ndoto gani hyo mwanangu?"
Mtoto akajibu "Nimeota tumefungua shule"...
😀😀😀🙂🙂🙂
Hahaahaa
 
Mtoto mmoja leo asubuhi kaamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelele "Mamaa!" Mama yake akaamka na kumuuliza "nini mwnangu?" Mtoto akajibu "Mama nimeota ndoto mbaya sana," "ndoto gani hyo mwanangu?"
Mtoto akajibu "Nimeota tumefungua shule"...
😀😀😀🙂🙂🙂
Atakuja kuwa Mwana CCM huyo, mfanyie Maombi upesi
 
Mtoto mmoja leo asubuhi kaamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelele "Mamaa!" Mama yake akaamka na kumuuliza "nini mwnangu?" Mtoto akajibu "Mama nimeota ndoto mbaya sana," "ndoto gani hyo mwanangu?"
Mtoto akajibu "Nimeota tumefungua shule"...
😀😀😀🙂🙂🙂
Ha ha ha ha
 
Yapo hayo,mwalimu mwenyewe shule zikifunguliwa anachukia ingawa mshahara anapokea
 
Back
Top Bottom