Huyu mtoto nahisi nitamla siku si nyingi

Usikaache hako maana ukikaacha kakirudi Usukumani katasema watu wa dar hawana maajabu
 
Mkule tu ila usisahau kuleta mrejesho kwenye ule uzi wa riki sawa mzee.
 
Unafiki tu ati "pepo toka" yaani ushadhamiria halafu unaongea upuuzi wako huo!!!
Na endapo utajaribu kufanya naye huyo binti ni mwathirika na unaweza ukampa ujauzito na kesi kuzibeba pia mke kukufukuza.
kipi ni bora?
 
Unafiki tu ati "pepo toka" yaani ushadhamilia halafu unaongea upuuzi wako wako huo!!! Na endapo utajaribu kufanya naye huyo binti ni mwathirika na unaweza ukampa ujauzito na kesi kuzibeba na mkei kukufukuza.kipi ni bora
mkuu punguza hasira basi. yaani mke wangu anifukuze ?
 
Kwa uzoefu nilionao katika masuala ya kijamii, hapo tatizo liko kichwani kwako akilini na sio hako katoto. Control sana hisia zako mzee utabomoa familia yako na kudharirika kwa tamaa ya kijinga sana

Kama una nyege katafute mtu wa mbali huko sio katoto kadogo tena kama mwanao . Vipi siku mtoto wako wa kike akafanyiwa kama unavyotaka kufanya na mume wa rafiki ya mkeo. Muepeke shetani mzee
 
katoto ka 97 man kashakuwa haka hafu kamewiva kwelikweli
Man hako ni kama mlenda, ni sawa na kula kandama, kamezaliwa siku 2 zilizopita sio vitamu kabisa utapoteza hamu yako bure.
 
Man hako ni kama mlenda, ni sawa na kula kandama, kamezaliwa siku 2 zilizopita sio vitamu kabisa utapoteza hamu yako bure.
Katoto kenye 24 hako kakubwa aisee kanafaa kwa chakura
 
dah we huna pepo kabisa yani! mm hpo kitaambo! au,au! ntumie namba bas nimfundishe fundishe... 😁
 
Sawa mzoefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…