Huyu mtoto wa kichaga kanibambikia au?...plse help!

Kaka kama mnaendana na hujaoa basi chukua jiko. Kama hutaki mke basi mtambue mtoto. Kisaikolojia utamsaidia shemeji kulea mimba kwa amani kubwa. Wanasaikolojia walio Jf wataprove ili. Kaka usimkimbie mzazi,mheshimu ndo uanze kumchunguza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…