KERO Huyu mtu amekuwa hatari kwa kuwafanyia watu vitendo vya kikatili hapa Bonyokwa

KERO Huyu mtu amekuwa hatari kwa kuwafanyia watu vitendo vya kikatili hapa Bonyokwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wewe boda hebu acha malalamiko,yaani jamii zilivyojanjaruka hivi mtu anawezaje kufanya matukio ya kujirudia halafu jamii ikae kimya

Labda kama kuna lingine
 
Kuna mtu anaitwa Pius hapa Canada Bonyokwa amekuwa akiwafanyia vitendo vya kikatili watu tofauti tofauti

Hwa anawakamata bodaboda na kuwachukulia pesa kwa nguvu. Anachojivunia yeye kuwa ni mgambo pale Staki Shari hata ukienda kushtaki kesi yake inakuwa yako

Tunaomba mamlaka husika zitusaidie huyu mtu Pius ni hatari hapa Bonyokwa.
Kwani kumwita mwizi ni kosa?
Wanaume wa Dar tusiangushane bana
 
Mpumbavu mmoja anasumbua kijiwe kizima cha bodaboda? Ebu kuweni serious basi na nyie boda wa bonyokwa daslam
 
Huu mda wa kuposti mngekiwa mmempa kichapo tukadika habari ungekuwa wa maana sana.
 
Bongo pakis##### sana yani mtu mgambo boya mmoja anasumbua mie kisu cha mkunjo muhimu akinisogelea
 
Wewe boda hebu acha malalamiko,yaani jamii zilivyojanjaruka hivi mtu anawezaje kufanya matukio ya kujirudia halafu jamii ikae kimya

Labda kama kuna lingine
Jamii zipi zilizojanjaruka? Juzi tuu dereva wa bus la Mtei kachomolewa na kuuwawa huku bus zima lenye abiria 60 waliangalia na wengine kuchukua video clip. Ungeniambia Kenya ningekuelewa ila siyo bongo..
 
....bodaboda na kuwachukulia pesa kwa nguvu.
Bodaboda ninaowajua wachukuliwe hela kirahisi... ? sidhani labda watakuwa na issue zinawahusu. Bodaboda Wana umoja usio mithilika wakiamua jambo lao ....!!!
 
Back
Top Bottom