makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Bonyokwa mnakuwaje wazembe, yani kenge mmoja asumbue mji mzima.. Mna sh ngapi? , nije nimshikishe adabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Wanaume wa Dar ni vituko ya kimgambo kinawahenyesha hivyo 😯Kuna mtu anaitwa Pius hapa Canada Bonyokwa amekuwa akiwafanyia vitendo vya kikatili watu tofauti tofauti
Hwa anawakamata bodaboda na kuwachukulia pesa kwa nguvu. Anachojivunia yeye kuwa ni mgambo pale Staki Shari hata ukienda kushtaki kesi yake inakuwa yako
Tunaomba mamlaka husika zitusaidie huyu mtu Pius ni hatari hapa Bonyokwa.
Pia soma: Mwenyekiti Serikali ya Mtaa Bonyokwa atuhumiwa kuhifadhi wahalifu!