KERO Huyu mtu amekuwa hatari kwa kuwafanyia watu vitendo vya kikatili hapa Bonyokwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Bonyokwa mnakuwaje wazembe, yani kenge mmoja asumbue mji mzima.. Mna sh ngapi? , nije nimshikishe adabu.
 
Duh! Wanaume wa Dar ni vituko ya kimgambo kinawahenyesha hivyo 😯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…