Wapigwe tuu
Senior Member
- Jan 31, 2015
- 173
- 224
Siku hizi 5 nikiwa napita usiku naona wanarudishia rangi kwa zebra! Bagamoyo road na Mwaikibaki Rd. Kama ni msaada waendelee ila kama serikali inawalipa basi naona huu ni ujinga na viongozi pia ni hivyo hivyo!
Rangi sijui ya nyumba ile wanapaka. Wakiweka rangi usiku asubuhi ukipita imeisha. Whats the point? Usiku wanafunga njia kuleta shida na ajali. Hawana vitendea kazi na hata weledi ukiwaona tu unajua something is very wrong!
Mfano Kawe round about walipaka usiku now mkaangalie na pia barabara ya bagamoyo kituo cha Mbuyuni.
Walichopaka kishatoka au kufutika ndani ya masaa.
Rangi sijui ya nyumba ile wanapaka. Wakiweka rangi usiku asubuhi ukipita imeisha. Whats the point? Usiku wanafunga njia kuleta shida na ajali. Hawana vitendea kazi na hata weledi ukiwaona tu unajua something is very wrong!
Mfano Kawe round about walipaka usiku now mkaangalie na pia barabara ya bagamoyo kituo cha Mbuyuni.
Walichopaka kishatoka au kufutika ndani ya masaa.