Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chief BhutheleziVipi kuhusu boss wake kusaini a pact na ccm kuwa mchakato uanze baada ya 2025?
His highness AyatollahChief Bhuthelezi
Acha kumlisha maneno kiongozi mkuu wa chamaVipi kuhusu boss wake kusaini a pact na ccm kuwa mchakato uanze baada ya 2025?
Wamesaini mchakato utaanza 2026; wameenda sawasawa na unabii juu ya upatikanaji wa KATIBA mpya 2026.👍👍👍Vipi kuhusu boss wake kusaini a pact na ccm kuwa mchakato uanze baada ya 2025?
Anajua alibugi. Anajaribu kurudi kwenye njia sahihi bila kumkwaza kiongozi wake.
Unabisha?Acha kumlisha maneno kiongozi mkuu wa
Jana nimemsikiliza ni hovyo kabisa
NI mbabaishaji snAnajua alibugi. Anajaribu kurudi kwenye njia sahihi bila kumkwaza kiongozi wake.
Amandla...
Yaani huwezi jua amesimamia jambo ganiHawa jamaa tangu wajue ule uongo wao wa kuanza na tume huru haukubaliki, naona siku hizi wanajikanyaga tu, kila mmoja wao na lake.
Act wanajichanganya sana. Sometime hata hawaeleweki.
Kwa sasa wanasema Katiba Mpya na tumr huru vinaenda pamoja mwanzo walisema wanaanza na Tume huru kwanza🤣🤣Hawa jamaa tangu wajue ule uongo wao wa kuanza na tume huru haukubaliki, naona siku hizi wanajikanyaga tu, kila mmoja wao na lake.
Hawajui hata wanafanya niniAct wanajichanganya sana. Sometime hata hawaeleweki.
Huyu Dogo anapewaga promo sana
Bila uthibitisho ni uzushiUnabisha?