Huyu muheshimiwa amenishinda tabia

Mwamba kabisa, mdau tupe siri apo kwny chumvi ya mawe tunafanyejee??
Kudekia, Ogea (siku7 au daily)na kuweka punje ktk kila kona za ndani ya nyumba/vyumba, na ukiweza km una jiko la mkaa uwe una ichoma kwa siku 7 mfululizo...asilani hauto waona hao viumbe
 
Kudekia, Ogea (siku7 au daily)na kuweka punje ktk kila kona za ndani ya nyumba/vyumba, na ukiweza km una jiko la mkaa uwe una ichoma kwa siku 7 mfululizo...asilani hauto waona hao viumbe
Huu ndio uchawi au huyo mjuzi ndiye mchawi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…