Huyu muigizaji wa filamu anaejiita mutrah1 huko instagram, ni sukari ya warembo aisee

Huyu muigizaji wa filamu anaejiita mutrah1 huko instagram, ni sukari ya warembo aisee

Mimi huwa napenda sana pale mtu anaponisifia kwa kutengeneza kitu au project au kwa kuwa najua sana jambo fulani.
Ila sio mbaya mtoa mada pengine hicho ndo unachopendelea kuona.
 
Tafuta hela mademu wanajua kunusa mtu mwenye hela kama vibaka wa Kariakoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan vibaka wa k/koo wananusa mtu mwenye hela? Lol
 
Back
Top Bottom