Pre GE2025 Huyu Mussa Magege anayewania ubunge Chato ataweza kupambana na miamba kama Kalemani au Katwale na wenzake? Nasikia anajipigia chapuo chinichini.

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hilo la Jesca msihangaikee
 
A
Ila nijuavyo baba yake alikuwa hataki kusikia watoto wake wakijihusisha na siasa. Labda kwa vile hayupo inawezekana kwa sasa.
Apewe tu !
Yote ni maisha tu !
One day yes πŸ™Œ
One day No πŸ™„ !
Duniani tunapita tu !
 
Kujipanga na nini?, Lowasa 2015 hakujipanga?, Maalim Seif miaka yote hakujipanga?. Shida ya nchi sio kujipanga wala nini ni mifumo ya maamzi ya kiuchaguzi haiwapi watu wanachoitaji bali mfumo unayemuitaji.
 
Hahaha Magege tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ramso na yeye si apambanie kombe?
 
Mamge huyu diwani mpiga debe wa mabasi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…