Huyu muuaji ni shujaa kama mashujaa wengine

Mh!
yupo sahihi kwa sababu moja tuu.
kufanya mapenzi ya jinsia moja hasa kipindi hiki chenye mibomondo mingi

Hivi inakuaje madem hawapo? Bar maids hawapo?hata virabuni kweli mpaka unainamisha mwanaume mwenzio kweli?
Wanasema ukizoea mavumbini ni ngumu sana kuacha huo mchezo, kifupi vitu haramu huwa vina addiction (uraibu)
Utandawazi umetufikisha pabaya.
 
Mh!
yupo sahihi kwa sababu moja tuu.
kufanya mapenzi ya jinsia moja hasa kipindi hiki chenye mibomondo mingi

Hivi inakuaje madem hawapo? Bar maids hawapo?hata virabuni kweli mpaka unainamisha mwanaume mwenzio kweli?
Mimi nasema hivi; huyo marehemu kama angekuwa amehifadhiwa kwenye fridge akisubiri mwisho wa kesi, ningeshauri mahakama itoe adhabu kwa marehemu kabla ya kuzikwa. Na adhabu hii napendekeza ingekuwa achapwe viboko sita, ndipo azikwe. Hili jambo alilokuwa analazimisha marehemu linaleta ukakasi akilini, na akili inashindwa kulikubali; kweli unataka umlawiti mdogo wako, tena wa kiume! Naona hasira kana kwamba hilo jambo limetokea katika familia yangu!
 
SUALA HILI LICHUNGUZWE KWA KINA, WAPO WALIOFANYA MAUAJI KWA MALENGO MAALUMU WAKATOA SABABU ZA AINA HII,KUPUNGUZA MAKALI YA MASHTAKA YAO, AU KUJIONDOA KATIKA SAKATA LA MAUAJI, JE WALIOKUWA NA URITHI WOWOTE?
 
Kuna mpuuzi mmoja alisema uislam unasingiziwa vitendo vya kulawiti kwa sababu vimezidi kwa wagalatia!
Sasa hapa vijana wa mnyaaaaaz Mungu,Tena ndugu,kaka anataka kutatua Malinda ya mdogo wake!!
Inawezekana alikuwa anamla,mdogo mtu akaona imetosha!
 
....Miaka Mitano, Mahabusu??? Only in Tanzania...!![emoji57][emoji57]
 

Mchongo wa akili huu jamaa kutoka
 
Ushujaa upi aliokuwa nao!!!??? Mtu analalamikiwa kumsaliti mwenzie (marehemu) hiyo inamaanisha alikuwa anabanduliwa muda mrefu ila baadae akabadilika (labda alipata bwana mpya)
Wanaosalitiana na wanaobanduana tu?
 
Umetema cheche zenye pointi sana.
 
Kwa hiyo marehemu aliingiza kwa mdogo wake au ndio alikuwa anatongoza!!!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…