Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Nepotism inapamba Moto watu wake walewale sie wakulima tutasota na majembe yetu ya mkono na kudhulumiwa haki zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukulia scenerio hii kwa urahisi zaidi. Mimi hapa niliwahi kuongoza mtihani wa Hesabu wa Mock FIV na mtihani wa NECTA FIV nilikuwa na "A" ya Kiingereza. Chukulia sasa ningekuwa mwalimu wa Sekondari nafundisha hesabu; je kwa muda wangu wa ziada, nitashindwa kumfundisha mtoto wa Sekondari Kiingereza?Bi Khadija alimfundisha Mh. Rais Hesabu na Kiingereza alipokuwa form two/three.
Je, huyu Mwl Khadija alisomea combination gani mpaka akaja kufundisha Hesabu na Kiingereza?
View attachment 2232770
Walimu wengi tu wa arts wanafundisha mathematics kwa upande wa O-level.Inawezekana hata kwa mtu aliyesoma HGL kufundisha hesabu kama kuna uhaba wa mwalimu wa hesabu.
Ninao ushahidi mnamo mwaka 2012 halmashauri ya manispaa ya shinyanga(jina la shule kapuni) kuna mwalimu alikuwa anafundisha civics form four na basic mathematics form one.Hivi vitu ukiwa unaambiwa tu unaweza usiamini kwa kuwa pengine umepita shule zisizokuwa na changamoto.Hiki ni kitu nilichoshuhudia kwa macho yangu.
Mungu amlaze mahali pema peponi mwalimu huyu,maana alishatangulia mbele ya haki.
Inawezekana aliishia form four, akasoma certificate then diploma akawa mwalimu wa sekondari ktk somo la kiingereza na hesabu
Chukulia scenerio hii kwa urahisi zaidi. Mimi hapa niliwahi kuongoza mtihani wa Hesabu wa Mock FIV na mtihani wa NECTA FIV nilikuwa na "A" ya Kiingereza. Chukulia sasa ningekuwa mwalimu wa Sekondari nafundisha hesabu; je kwa muda wangu wa ziada, nitashindwa kumfundisha mtoto wa Sekondari Kiingereza?
Hakukua na haja ya kutumia maneno mabaya kama hivyo kupinga hoja yake..hii inaonesha wewe ni mtu wa aina ganiKichwa chako ni sanduku la kuhifadhia meno tu.
Sijasema kuwa kasema hivyo. Nimesema chukulia scenerio........ Kiswahili kigumuHuo ufafanuzi wako ni bure tu hapa, bibie hajasema hayo….. suala sio kuweza wala kushindwa kufundisha.
Pinga ufafanuzi kwa hoja zenye mantikiKichwa chako ni sanduku la kuhifadhia meno tu.
Kweli kabisa hii inafikirisha kidogo na imekaa mkao wa kulipa fadhila na hapo kwenye umri ndio shida kidogoUkiachia mbali hoja ya combination, na kama alimfundisha sekondari ya kawaida, bado kuna maswali mengi.
Ikiwa rais ana 60+yrs, huyo mwalimu wake ana umri gani?
Je, ni kulipa fadhila au kuna tija kwa taifa?
Halafu collegemate wake anaonekana mzee kuliko mwalimu wake.
Duh nchi hii, kazi kweli!
Zamani kulikuwa na uhaba mkubwa wa walimu hafu Eng unaweza kufundishaBi Khadija alimfundisha Mh. Rais Hesabu na Kiingereza alipokuwa form two/three.
Je, huyu Mwl Khadija alisomea combination gani mpaka akaja kufundisha Hesabu na Kiingereza?
View attachment 2232770
Hahahaaaa, ama kweli.Alisomea combination sound, combinenga, mwalimu mkuu man water na kilanja alikuwa 20%!
Tunakoma na hivi viacademy wallah😀🙌Mimi sjui. Ingawa nikiwa nyumbani huwa nakuwa mwalimu wa masomo yote kwa watoto wangu. Na wanaamini najua kila somo.
Bila shaka PCM. Then akajiongeza/akaombwa kufundisha English kwa kuwa labda hakukuwa na waalimu
Aliyesoma HGL hawezi kusogea kufundisha Mathematics
Umetumia msamiati mgumu: "Goli kona", "tahasusi" - ni kama maneno yatumikayo upande wa pili wa muungano!Kwa walimu wa sampuli hiyo,inaakisi matokeo ya upande wa pili wa muungano.
Hiyo ni "Goli kona" hakuna tahasusi hapo.
Nadhani scenario sio neno la kiswahili jamaa yangu. Au lipo kwenye kamusi ipi?Sijasema kuwa kasema hivyo. Nimesema chukulia scenerio........ Kiswahili kigumu