Huyu mwamba inaonyesha kapelekwa Tanga ku deal na Mafia wa magendo

Huyu mwamba inaonyesha kapelekwa Tanga ku deal na Mafia wa magendo

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Ndani ya mwezi mmoja yeye na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Tanga na yeye akiwa ndiye M/kiti wamefanikiwa kukamata mali za magendo zisizopungua thamani ya bilioni 4!

Na inaonyesha dhamiraye ni kukomesha kabisa uhuni ule unaofanywa na ma mafia wa Tanga na Dar es Salaam.

Je, atawaweza?!

"Nimeshuhudia kwamba watuhumiwa 20 wote mmepatikana. Nichukue nafasi hii kulipongeza Jeshi la polisi la mkoa wa Tanga chini ya RPC na viongozi wote. Tunataka mwenye mzigo huu aje lakini kwa sasa tunasema wenye mzigo huu ni nyinyi. Nitoe wito kwa wananchi wa Tanga na mkiwemo nyinyi, mtu yoyote asikupe kazi ambayo si halali, ukishiriki kwenye biashara ya magendo na wewe unafanya magendo."
 
Hivi kuna watu bado wanafanya biashara za magendo tu? Mh rais kawasihi walipe kodi kwa hiari bila shuruti wao bado wanakwepa kulipa kodi tu? Wanataka rais wa aina gani?
 
Kuwepo kwa biashara za magendo kunamaanisha kunamfumo mbovu wa kodi nchini.Hizi tozo lukuki na kodi kubwa kuliko kawaida inawafanya watu wajihusishe na magendo.Punguzeni tozo za ajabuajabu ili mpate mapato mengi.Kwa tozo hizi,mimi sitaacha biashara zangu za magendo hapa mpakani.
 
Kuwepo kwa biashara za magendo kunamaanisha kunamfumo mbovu wa kodi nchini.Hizi tozo lukuki na kodi kubwa kuliko kawaida inawafanya watu wajihusishe na magendo.Punguzeni tozo za ajabuajabu ili mpate mapato mengi.Kwa tozo hizi,mimi sitaacha biashara zangu za magendo hapa mpakani.
Magendo hata hapo kwa biden yapo. UK yapo n.k
 
Ndani ya mwezi mmoja yeye na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Tanga na yeye akiwa ndiye M/kiti wamefanikiwa kukamata mali za magendo zisizopungua thamani ya bilioni 4!

Na inaonyesha dhamiraye ni kukomesha kabisa uhuni ule unaofanywa na ma mafia wa Tanga na Dar es Salaam.

Je, atawaweza?!
View attachment 2363935
"Nimeshuhudia kwamba watuhumiwa 20 wote mmepatikana. Nichukue nafasi hii kulipongeza Jeshi la polisi la mkoa wa Tanga chini ya RPC na viongozi wote. Tunataka mwenye mzigo huu aje lakini kwa sasa tunasema wenye mzigo huu ni nyinyi. Nitoe wito kwa wananchi wa Tanga na mkiwemo nyinyi, mtu yoyote asikupe kazi ambayo si halali, ukishiriki kwenye biashara ya magendo na wewe unafanya magendo."
Duuh kama Omary naye ni mwamba basi nchi hii tumekwisha!
 
Back
Top Bottom