Huyu mwanadada member wa JF napenda sana tabia yake

Weka na Dina hapo
Mhhh wewe labda kabla hujajuana na warumi walahiii maana kipindi kile nilikuwa nacheka sana celeb forum..mlikuwa wambeya hadi mnaboa ila kwangu ilikuwa refreshment

Wewe upo vizuri hadi pale mtu anapokukera kidogo tu huwa unawakaa
 
Mkuu just be real, ninakumbuka quote kwenye kitabu cha Harry Potter "don't expect a day when the universe will be on your side"
 
Mhhh wewe labda kabla hujajuana na warumi walahiii maana kipindi kile nilikuwa nacheka sana celeb forum..mlikuwa wambeya hadi mnaboa ila kwangu ilikuwa refreshment

Wewe upo vizuri hadi pale mtu anapokukera kidogo tu huwa unawakaa
Asa mbona umeandika kidogo Nawe waelezee sifa zangu wanitambue mimi ni nanii, maana wanajua mimi wa Hivi Hivi enzi Hizo wale guest ilibidi wajiunge jf
 
hahahahahah, ila kwenye mambo yaaaleee, sio mkorofi ila ni mbunifu nakuhakikishia hutanichoka (Kwa sauti ya mkulu wetu)
Jamani mbona wataka kunimaliza mapema hivyo?
Najua siri ya wanawake wakorofi, hawa wanaogopwa na wanaume wengi, lkn mimi nkijua u mkorofi yaani umekwishaa.
Najua siri ya urembo...acha kabisa mpendwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…