Mimi ni dhahabu hata unitupe mchangani nitang'ara tu!Siku hizi huna jipya umebaki kuosha na makalia za dada zako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Midume ya humu inakutokea pm unakuja kulalamika huku
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi ni dhahabu hata unitupe mchangani nitang'ara tu!
Mimi list ya wadada/wanawake wa humu ni kubwa kiasi fulani ninaowakubaliMie sijambo kama nyie.
Nasema kutoka moyoni tena bila kushuritishwa na mtu, napenda sana tabia ya huyu dada member mwenzetu hapa JF. Huyu dada hana maringo, hana hasira hata mtu akimjibu utumbo. Hivi kwa nini na mie sina tabia njema kama za huyu dada (nina hasira sana). Mie mtu akinitibua ni jino kwa jino, jicho kwa jicho, mguu kwa mguu, mkono kwa mkono kinachofuatia ni nasomeka BANNED.
Wewe dada una busara sana. Mimi kama mwanamke mwenzio nasema hivi una tabia njema. Na kama una familia basi familia yako utakuwa unawalea katika maadili mazuri.
Huwa nikiona mtu "anamchokoza" huyu dada niko tayari kuingilia huo ugomvi (nina element za ugomvi sipendagi ujinga mimi).
Barikiwa sana Dada Sky Eclat pia nakutakia maandalizi mema ya mfungo (Kwaresma).
Unajua watu wana chuki wakaanza kuniandama humu ili tu wanishushe![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niwe mkweli interview zako zilitufanya tuwafahamu members wa humu na tabia zao.
Swali lako la kufanyia ufuska sehemu hatarishi...
Migombani, vichakani na walionza kurukaruka wakiwa darasa la 4.
Ulijizolea umaarufu japo ulikuwa mtata kama buzi tata, hutaki kurekebishwa[emoji23] [emoji23]
Lkn uliunganisha wengi hadi kuwa wapenzi...hebu rudi mkuu
Nasemaga ukweli tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kumbe we mwoga enh?Ooooh
Jamani ha ha haaaaaa
Usifanye tuanze kunukuhiwa humu bila sababu na vijembe vile smati..
Anakuchafua ili nihamie kwakeMimi ni dhahabu hata unitupe mchangani nitang'ara tu!
Sasa mahari si mpaka niyathaminishe? Sasa unavyogoma kuja nikukague nitajuaje utamu wako ili niweke thamani halisi kwenye mahari?Kwani we juzi si ulikataa mahari ukasema mpaka bibi aniweke ndani? Subiri mahari nyingine ije nikirudishwa ndo useme
Mimi je?
Sikiliza dogo langu.Unajua watu wana chuki wakaanza kuniandama humu ili tu wanishushe!
Kuna members wana roho mbaya humu
Ni wachawi kabisa
Wivu wa ajabu kuna mmoja akawa ana comment ovyo ovyo ili kuharibu kipindi!
Wajue tu sepetu hashushiki l will come back as a storm.bastard!
Uko sahihi mkuu
Ashindwe!Anakuchafua ili nihamie kwake
Short and clear kama anatweet vileMie nimesoma hapo kwenye jino kwa jino [emoji23]
Sky ananifurahisha na maneno yake ya ujanja ujanja
Halafu coment yake moja tu.
Kamaliza
cocochanel ninalinda mafao ya watoto, hukawii kusikia kuna akiyenunuliwa kiwanja/nyumba