Huyu mwanadada member wa JF napenda sana tabia yake

Tutarudi mavumbini Ndipo kila mtu atapambana na Hali yake...... Scooter tunakunya na yananuka tu Hahaaa [emoji23]
 
Mimi ni dhahabu hata unitupe mchangani nitang'ara tu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niwe mkweli interview zako zilitufanya tuwafahamu members wa humu na tabia zao.
Swali lako la kufanyia ufuska sehemu hatarishi...
Migombani, vichakani na walionza kurukaruka wakiwa darasa la 4.
Ulijizolea umaarufu japo ulikuwa mtata kama buzi tata, hutaki kurekebishwa[emoji23] [emoji23]

Lkn uliunganisha wengi hadi kuwa wapenzi...hebu rudi mkuu
 
Mimi list ya wadada/wanawake wa humu ni kubwa kiasi fulani ninaowakubali

Sky Eclat ni miongoni mwao
 
Unajua watu wana chuki wakaanza kuniandama humu ili tu wanishushe!

Kuna members wana roho mbaya humu
Ni wachawi kabisa

Wivu wa ajabu kuna mmoja akawa ana comment ovyo ovyo ili kuharibu kipindi!

Wajue tu sepetu hashushiki l will come back as a storm.bastard!
 
Kwani we juzi si ulikataa mahari ukasema mpaka bibi aniweke ndani? Subiri mahari nyingine ije nikirudishwa ndo useme
Sasa mahari si mpaka niyathaminishe? Sasa unavyogoma kuja nikukague nitajuaje utamu wako ili niweke thamani halisi kwenye mahari?
 
Sikiliza dogo langu.
Ktk maisha usipopata ukinzani huwezi kufikia lengo. Wengi mnapopingwa mnakimbia, ulitakiwa ukomae kama mshana kwenye nyuzi za uchawi[emoji13]
Anabezwa lkn jamaa amesimamia anakilenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…