Mima white cute
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 740
- 1,305
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaah, mie hadi nikichokozwa ndio sina uvumilivu hahahahaahJestkilla
Hahahaa wewe sijawahi kuona unamtukana mtu
Safi sana, ahsante kwa kunikumbusha mkuu Mima white cuteUmemsahau emmyta huyu Dada nae huwaga anacomenti za busara pia.
Kwani cocochanel kanifanya ubaya gani?mmmmh! ngoja nikimbie nimwachie cocochanel huu msala
Ngoja siku nikuchokozehahahaah, mie hadi nikichokozwa ndio sina uvumilivu hahahahaah
Mtazamo wangu mkuu japo pia sibezi uchaguzi wako mana upo sahihi kabisa, member uliomchagua anasifa zote ulizommiminiaHivyo eeeee!!!!
hahahahhaha, kakusalimia wewe na Sky EclatKwani cocochanel kanifanya ubaya gani?
😀😀😀😀😀😀😀😀Kumbe hujamjua vuzuri bado. Mwanamama ana maneno kama dikshenare ya ahera
hahahah, hapana Dina uko namba za mwanzo mwanzo,hahahahahahahahahahahah nimecheka kwa sauti hahahha. ila Dina wewe hahahaahNilijuaa nasifiwa mimi ,sifa hizi zitatuua, Kwa hiyo NAHUJA mi Nashuka namba ngapi vile, au Ndio nipo Kwenye zile sifa za wanaotukana sana
Usione vyaelea... vimeundwa!Mie sijambo kama nyie.
Nasema kutoka moyoni tena bila kushuritishwa na mtu, napenda sana tabia ya huyu dada member mwenzetu hapa JF. Huyu dada hana maringo, hana hasira hata mtu akimjibu utumbo. Hivi kwa nini na mie sina tabia njema kama za huyu dada (nina hasira sana). Mie mtu akinitibua ni jino kwa jino, jicho kwa jicho, mguu kwa mguu, mkono kwa mkono kinachofuatia ni nasomeka BANNED.
Wewe dada una busara sana. Mimi kama mwanamke mwenzio nasema hivi una tabia njema. Na kama una familia basi familia yako utakuwa unawalea katika maadili mazuri.
Huwa nikiona mtu "anamchokoza" huyu dada niko tayari kuingilia huo ugomvi (nina element za ugomvi sipendagi ujinga mimi).
Barikiwa sana Dada Sky Eclat pia nakutakia maandalizi mema ya mfungo (Kwaresma).
Afu emmyta anaonekana mjanja na msiri sana aiseeHuyo wa kwanza hapo mkuu(emmy) ndio anastahili kupewa hizo sifa