Huyu mwanadada member wa JF napenda sana tabia yake

Nilijuaa nasifiwa mimi ,sifa hizi zitatuua, Kwa hiyo NAHUJA mi Nashuka namba ngapi vile, au Ndio nipo Kwenye zile sifa za wanaotukana sana
hahahah, hapana Dina uko namba za mwanzo mwanzo,hahahahahahahahahahahah nimecheka kwa sauti hahahha. ila Dina wewe hahahaah
 
Usione vyaelea... vimeundwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…