Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 234
Wakuu leo nikiwa katika nyumba ya ibada kumwabudu Mungu nimeshangaa na kushindwa kumwelewa mwanafunzi mwenye matokeo haya:
S2663/0001
F
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F PHY-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
alipopita mbele na kutoa shukrani kwa Mungu kwa matokeo hayo. Nimetafakari sana nimeshindwa kupata majibu. Hii imani ni kubwa kiasi gani? Wangapi wenye matokeo kama hayo waliotoa sadaka ya shukrani kwa Mungu!
S2663/0001
F
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F PHY-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
alipopita mbele na kutoa shukrani kwa Mungu kwa matokeo hayo. Nimetafakari sana nimeshindwa kupata majibu. Hii imani ni kubwa kiasi gani? Wangapi wenye matokeo kama hayo waliotoa sadaka ya shukrani kwa Mungu!