Huyu mwanamke ana Watoto wanne kutoka kwa baba wanne tofauti mimi nataka kupewa Uuncle mbuzi. Never, Mjipange Wanawake

Kuna clip moja nimeona jamaa anakwambwia siku hizi unaikuta bughati, benz, bmw, mpya kali sana na registartion namba yake ni mbichi kabisa...lakini ukienda kusoma kilometres ambazo "imeishatembea" ni zaidi ya laki saba!!! Si nimeelewaka jamani kwa mujibu wa maelezo ya jamaa!?
 
Mkuu fanya vipimo hosp walau 3/4 tofauti & achana na hilo jambazi la watoto 4 @1 na dingi yake ni hatari kwa maendeleo yako huyo
 
Jitibu korona.
 
Mtoto kaitwa kwa daktari ukaingia wewe! Kwamba mmefanana majina na mtoto au? Wewe ndo inaonesha uliutaka huo uancle lazima kichwa kikuume na sijui Kama utapona.Hakuna maelezo ikiwa nawewe baadaye uliitwa kwa daktari ukatibiwa.Au ndo mtoto alivyotibiwa ukaondoka nao! Kama kimeanza kuzingua mwambie akupe tu dawa za mtoto sema wewe waongeza idadi tu Uncle wa Ikram.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…