Huyu mwanamke ananitishia maisha

Huyu mwanamke ananitishia maisha

S

Sio issue ya mkoa gani mkuu ni kwamba ninachokiona anataka aje aniharibie kabisa hata kwa yule lazizi wa moyo,imaging niendelea kumfunua,Je,siku yule yupo sio ndio atajileta kabisa alafu avuruge mambo.
Ulimtaka mwenyewe mkuu,jua jinsi utakavyo pambana na hiyo hali wakikutana,we ni mwanaume,wakikutana waambie mtakuwa wake zangu wote ambaye anaona anabanwa na awe wa kwanza kuondoka.
 
Acha uoga kijana hakuna kesi ya kipolisi hapo wanawake ndivyo walivyo ukimtema anakutishia wahuni au uchawi lakini utekelezaji sifuri. Walume tulishatishiwa sana lakini tunadunda hadi sasa. Ukitangatanga atakuharibia kweli ww kaa kizembe tu shauri yako.
 
Hapo vip!!

Embwana kudemu mmoja hapa kitaani ,japo mimi pande hizi za kwao mimi ni mgeni coz sina hata miezi 3,sasa siku moja nimetoka zangu kwenye mishe zangu mara nikakutana nae maeneo na nipo ishi.

Then kugeuka nikajikuta nae ananiangalia ikabidi nijikaze nikamuita then nikamsalimia kama kawaida nikamuomba number akanipatia.

Tukaendelea kuwasiliana kama siku 2 mbili hivi then nikamkaribisha kwangu siku moja bila hiyana akaja.

Days back sijamtongoza,so alivyokuja geto alivyovaa kimtegotego ikabidi nirushe nduano hapo nikajikuta nakula mzigo.But nilimuambia tunapeana raha then kila mtu atakuwa free kwenye mambo yake.Na Mimi nina mchumba wangu

Sasa chakusikitisha huyu demu amekuwa ananisumbua Sana aniambia anataka tuendeleze game,so ili kumuonyeshe ilikiwa napita tu kama nilivyo muambia nimekuwa si response simu wala sms zake.

Sasa juzi ameniambia lazima aje na wahuni wanifanyizie hapo ninapokaa labda niame ndio salama yangu.

Sms zake zote za vitisho nivyo and alafu mimi nimemdate siku moja sasa imekuwa kama nimempa mimba nikamtelekeza.
Hapa nawaza niende police nikamreport au nimpoteze niwasubiri hao wahuni wake.
Toa taharifa polisi. Wape evidence hizo.
Be realistic.
Anaweza kuwa muhuni.
Ila kama unajiamini basi sawa jiandae.
Wahuni sio watu wazuri
 
Hapo vip!!

Embwana kudemu mmoja hapa kitaani ,japo mimi pande hizi za kwao mimi ni mgeni coz sina hata miezi 3,sasa siku moja nimetoka zangu kwenye mishe zangu mara nikakutana nae maeneo na nipo ishi.

Then kugeuka nikajikuta nae ananiangalia ikabidi nijikaze nikamuita then nikamsalimia kama kawaida nikamuomba number akanipatia.

Tukaendelea kuwasiliana kama siku 2 mbili hivi then nikamkaribisha kwangu siku moja bila hiyana akaja.

Days back sijamtongoza,so alivyokuja geto alivyovaa kimtegotego ikabidi nirushe nduano hapo nikajikuta nakula mzigo.But nilimuambia tunapeana raha then kila mtu atakuwa free kwenye mambo yake.Na Mimi nina mchumba wangu

Sasa chakusikitisha huyu demu amekuwa ananisumbua Sana aniambia anataka tuendeleze game,so ili kumuonyeshe ilikiwa napita tu kama nilivyo muambia nimekuwa si response simu wala sms zake.

Sasa juzi ameniambia lazima aje na wahuni wanifanyizie hapo ninapokaa labda niame ndio salama yangu.

Sms zake zote za vitisho nivyo and alafu mimi nimemdate siku moja sasa imekuwa kama nimempa mimba nikamtelekeza.
Hapa nawaza niende police nikamreport au nimpoteze niwasubiri hao wahuni wake.
Mwanaume wa Dar yaani demu anakutishia.. Nakumbuka kuna malaya mmoja niliwai kuomba game kumbe mchezo wao ilikuwa kama wanamjua mchumba ama mkeo basi wanamuita then wanakupigia ili na yy asikie mpange namna ya kuonana ilimradi tu iwe mtego..

Kwa bahati nzuri by the time wananipigia nilijibu kwa kifupifupi sana maana nilikuwa bize na sikwenda kama walivyopanga nikaenda zangu home..nikakuta wife kafura balaa..
Msosi kagoma kuweka mezani na majibu ya kimkato nikamshushia nakos ndo akaanza kusema kila kitu na kashfa juu.. Ikabidi niwe mpole nikampanga akanielewa

Wale mademu walikuwa ni wa mtaani na wanashinda saluni niliwafuata mlemle tena mchana kweupe unatembeza kichapo.. Wakaanza kunitishia eti utaona mpaka leo kimyaa ni mwaka wa 3 huu..

Nakushauri mwambie kama hajipendi afanye lolote otherwise kakuona ww mnyonge sana.. Hizi habari huna haja kufika polisi
 
Mwanaume wa Dar yaani demu anakutishia.. Nakumbuka kuna malaya mmoja niliwai kuomba game kumbe mchezo wao ilikuwa kama wanamjua mchumba ama mkeo basi wanamuita then wanakupigia ili na yy asikie mpange namna ya kuonana ilimradi tu iwe mtego..

Kwa bahati nzuri by the time wananipigia nilijibu kwa kifupifupi sana maana nilikuwa bize na sikwenda kama walivyopanga nikaenda zangu home..nikakuta wife kafura balaa..
Msosi kagoma kuweka mezani na majibu ya kimkato nikamshushia nakos ndo akaanza kusema kila kitu na kashfa juu.. Ikabidi niwe mpole nikampanga akanielewa

Wale mademu walikuwa ni wa mtaani na wanashinda saluni niliwafuata mlemle tena mchana kweupe unatembeza kichapo.. Wakaanza kunitishia eti utaona mpaka leo kimyaa ni mwaka wa 3 huu..

Nakushauri mwambie kama hajipendi afanye lolote otherwise kakuona ww mnyonge sana.. Hizi habari huna haja kufika polisi
Mimi hata wale wahuni wake nitawakalisha chini ngoja niwasubiri..hushauri wako nimekubali mkuu,sintamuogopa chura Yeyote.
 
Mdinye tena,tena ikiwezekana dinya kwelikweli, yaani dinya haswaa,halafu kuomba udinye na mfereji wa suez, hatarudi tena n'a hutawaona wahuni anaokutisha nao, mana utakuwa umewawahi ujanja
 
Mdinye tena,tena ikiwezekana dinya kwelikweli, yaani dinya haswaa,halafu kuomba udinye na mfereji wa suez, hatarudi tena n'a hutawaona wahuni anaokutisha nao, mana utakuwa umewawahi ujanja
Ha!ha!wewe jamaa.
 
Wewe ni fala kabisa,yaani unatishiwa maisha na mtoto wa kike unakuja humu,si umtomb.,./e tu kama shida yake ni hyo?umetokea mkoani lini?
Huyu wa Dar bila Shaka,sisi WA mikoani huwa hatulii lii,sisi tunagawa tu dozi, ukizingatia tunakula ugali WA ulezi, mgumu kutoka kwenye kinyeo, unaamua kutokea mbele,ndio maan show zetu sio Zach mchezomchezo,vidume WA Dar Es Salaam mnatuaibisha BWANa, Au bashite keshawaharibu
 
Utakuwa mwanaume wa Dar ww siyo bure!
Mbato mtoto huyo eboo!
 
Back
Top Bottom